babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
- Thread starter
-
- #21
namuona youtube yo yo nyingi na marepa uchwara kina wakazi
:embarassed2:
kwani meno yanatafutwa tumboni au mdomoni?..Ni ndogo au kubwa?
nimesoma mahali familia yake inadai kuna nguvu za giza nkacheka sana:lol:
nimesoma mahali familia yake inadai kuna nguvu za giza nkacheka sana:lol:
si wajua mbaazi ikisinyaa inasingizia jua:embarassed2:Yale yale ya simba na yanga, kama hayo mambo yanafanya kazi Tanzania tungeshachukua kombe la dunia sasa.
Sasa kwanini na wao wasitumie nguvu za Mungu kukabili nguvu za giza? au wamekubali kwamba nguvu za giza zimeshinda nguvu za Mungu?
Nguvu za giza ndio zilikuwa zinamtuma kusafiri hovyo hovyo badala ya kujituma kwa mazoezi ku-improve perfomance yake?
Kama kweli hayo ndio maneno basi washakubali kwamba kijana wao kashindwa.
Unatusingizia bwana wapopo unamwachia nani..niliwahi andika humu..
kwa nini watanzania huwa hawa shine kimataifa?
mrisho ngasa na west ham
hasheem na nba
na wengineo wengi....
hii nchi ni kama ina laana hivi......
na ushirikina ndo tunaoongoza duniani....
Unatusingizia bwana wapopo unamwachia nani..
shosti utafiti umefanywa tanzania inaongoza...
hata wa nigeria hawatufikii......i mean kwa percentage
ya wanaoamini ushirikina...
tanzania ni 94 percent....
hata mauaji ya albino ni sisi tunaongoza duniani
wanafuatia burundi....
Tatizo ni kuwa kijana alilewa sifa despite watu kumwambia he needs to improve to remain in the league na kutokuwa a casualty of fame.No.2 pick wa kwanza kupelekwa D-League twice!!Badala ya kufanya mazoezi ya nguvu wakati wa off-season,yeye alikuwa anakula bata Dar es Salaam na kucheza kikapu mchangani-tena '21'!How can you improve?Marafiki zake wamemungusha pia!Hakuna aliyekuwa anamshauri kuwa dogo anahitaji kufanya mazoezi sana badala yake kuzunguka Dar na Range Rover wao wakaona ni bora zaidi.Ushauri wa bure dogo anatakiwa ajue kuwa bado ni mdogo sana kwenye game na kuwa No.2 draft pick,you need to train harder to prove your critics wrong.Now endorsements will be low since he is not that good any more.NCAA is not the same as NBA.NBA is tough.Afuate nyayo za King James,the dude trains hard everyday and that is why he can maintain his average points per game,and that is why he can do a number of triple doubles.Hakuna cha kulogwa wala nini,they need to start encouraging the dude to grow up.
mhh kazi kwelikweli sikuwa nalijua hilo..kama tumewazidi wapopo tunatisha kama njaa:lol:
hii nchi we acha tu....
umewahi jiuliza kwa nini mtu akichomoka tu anazimika??
nakaaya sumari alipata deal la sony,yuko wapi leo?
mrisho ngasa na west ham??????
yaani the list ni ndefu.....
mhh sijui kwa nini huwa siamini hayo mambo,Nakaaya alitumbukiza mapenzi kwenye kazi,Mrisho yeye sijui...ushirikina sidhani ila kwa kazopata nafikiri tunaongoza duniani.
kazopata ndo nini???????