Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizi minor leagues karibu zote payment yake ndogo sana so, I think, D-League ni bora kuliko nyingi ya hizi minor leagues kama sio zote. Lakini ingawaje nasema D-League ni bora compared to others lakini hata na yenyewe pesa yake ni ndogo sana kwahiyo what worth more for D-League is exposure and not money!hivi mtaalamu wa kikapu nipe jibu....kucheza D-league na kucheza ligi ya chini ipi ina mpunga mrefu?!
Huyo curry co mtu wa sayari huyo jamaaAtaweza kumkaba fundi wangu steph curry au the beast le bron james na sasa ivi GSW tumeongezewa kelvin durrant
Welcomebacknba
Hii inaitwa roho ya kwaniniHuyu jamaa ana maringo sana
Siwezi kuombea mtu kama huyo hata siku moja nba lazma atupwe nje no way out!!
17Hasheem ana miaka mingapi?
Mbona ana sura ya kizee sana?
You're right... endapo atapata second chance ingawaje regular season ndo ishafika, I believe atakuwa very committed hivi sasa. Ukifuatilia maelezo ya Frank Matrisciano na mwenzake Milt Newton, unajua kabisa kwamba Hasheem huyu sio yule. Huyu Frank wenyewe wanamuita Hell's Trainer... in 10, wanaomalizaga training zake huwa hawafiki 5 na wengine wote wanaingia mitini! Lakini Hasheem amedumu nae na anakuambia kwa sasa Hasheem isn't only BIG lakini anaweza ku-translate body lake into a game... sio yule Hasheem mzembe mzembe!amekua sasa yaelekea akipewa nafasi tena hata zembea
We jamaa sijawahi kukuona ukiongea mambo positive kwa wenzako... yaani always wewe ni negativities tu!
Pamoja na wazazi na ndugu zako sio?!!We unataka positive tuu ya nini kwa manufaa ya nani??
Nasema hivi bongo hakuna mtu Mwenye maana wote pumba maandazi tuuu
Pamoja na wazazi na ndugu zako sio?!!
Na ukimuuliza maringo yake nini hupati jibu.Hii inaitwa roho ya kwanini
We n'shakuzoea bhana... kwahiyo wala hunisumbui kichwa siku hizi!!! Anyway, it's only few hours till regular season take off but it's not over until is over!Labda NBA ya Uhasibu.
Unaona sasa... ndo matatizo ya kurushwa mawe gizani wakati una kizunguzungu!!!Kasoro Mimi na jamii yangu
Unaona sasa... ndo matatizo ya kurushwa mawe gizani wakati una kizunguzungu!!!