Usimfananishe na hao, maana career za hao ziliisha baada ya kupitia mafanikio mengi na kuwa the best at one pointKila Kitu kina kipindi chake,mbio za vijiti kwasasa kashakabidhi kijiti kwa wengine,his career is over like Mike anyone Jackson,Jordan,Tyson.
Vanessa gani?!Huyu jamaa atakua alijiloga mwenyewe ,yaani jitu refu vile kutembea na Vanesa ? Ule ulikua ukiukwaji wa haki za binadamu kabisa , Natania tu ,sijui ni nini kimempata ndugu yetu Hashim
Vanesa wa JuxVanessa gani?!
Mafanikio ya Hashim ni bajeti ya Tz kwa miaka mitatu ??? Wewe umelogwaAcheni kumsema vibaya jirani yangu. nendeni kwenye website ya NBA utajua wapi yuko. othrws mnapiga domo la bure tu but kufikia mafanikio yake lbd budget ya Tz 3yrs
na uhakika ukimuuliza atakuambia tena kwa kujiamini eti wabongo wanaroho mbayaaaa wamepiga jujuHuyu jamaa atakua alijiloga mwenyewe ,yaani jitu refu vile kutembea na Vanesa ? Ule ulikua ukiukwaji wa haki za binadamu kabisa , Natania tu ,sijui ni nini kimempata ndugu yetu Hashim
Haha kwani kuna sababu nyingine tunapenda kutoa zaidi ya hilo ??na uhakika ukimuuliza atakuambia tena kwa kujiamini eti wabongo wanaroho mbayaaaa wamepiga juju
Muulize kwanza bajeti ya Tz kwa mwaka ni sh ngapi..Unaweza kuwa unamlaumu kumbe hajuiMafanikio ya Hashim ni bajeti ya Tz kwa miaka mitatu ??? Wewe umelogwa
Ni Vanesa au Jojo??Vanesa wa Jux
umechanganya madawaHuyu jamaa atakua alijiloga mwenyewe ,yaani jitu refu vile kutembea na Vanesa ? Ule ulikua ukiukwaji wa haki za binadamu kabisa , Natania tu ,sijui ni nini kimempata ndugu yetu Hashim
Teh teh! Kafukia kote huko KaboomNi Vanesa au Jojo??
Kivipi mkuu ?umechanganya madawa