screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Ni Jokate, hiyo ya Vanesa mbona sijawahi isikiaKivipi mkuu ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni Jokate, hiyo ya Vanesa mbona sijawahi isikiaKivipi mkuu ?
Ndio unaskia sasa ,kapita kote hukoNi Jokate, hiyo ya Vanesa mbona sijawahi isikia
Mafanikio ya Hashim ni bajeti ya Tz kwa miaka mitatu ??? Wewe umelogwa
Mkuu ungemwekea hiyo List jamaa aliyesema hela za Thabit ni bajeti ya Tz kwa miaka 3
Teh teh..Huu ni ubakaji wa kimaumbile aiseeTeh teh! Kafukia kote huko Kaboom
Usicheze na watu wenye dhiki sio wote lkn wengi wao wana roho mbaya wanatamani udrop wakupake mavi usoniKama watanzania wazalendo tulifurahia sana ufiko wa kilele cha mchezo wa kikapu wa mbongo mwenzetu huyu.
Ni mafanikio makubwa naweza kuyaita kwa upande wa burudani na michezo kwa hatua aliyofikia Hasheem!
Ni masikitiko yangu kwamba simuoni kwenye maHeadline ya michezo na burudani kwa ujumla!
Yu wapi huyu supastaa na afanya nini sasa aliko!?
Kwa wenye data zake wakuu, mimi nashabikia sana wabongo watuwakilishao vyema Internatianale!!
Aliyetoa mfano ndio hajui, hadi anataka kulinganisha pesa za huyo Hashimu na budget ya TZ. Au na wewe hujui mkuu?Muulize kwanza bajeti ya Tz kwa mwaka ni sh ngapi..Unaweza kuwa unamlaumu kumbe hajui
Mkuu una hakika huu ujumbe ni wangu ?? Mimi nimeshangaa huyo anayesema Utajiri wa Hashim ni bajeti ya Tz miaka mitatu ,Mkuu watakucheka watu mkuu. Hivi unajua unaloliongea? Au ndio zile figures mnazosoma kwenye magazeti ya udaku? Unajua budget ya mwaka ni kiasi gani?
By the way, hata kama ana pesa budget ya TZ miaka mitatu, kwani hapo ndio mwisho wa kuwa na mafanikio?
Mkuu sijaelewa unasimama upande gani..Unakubali kuwa mafanikio ya Hasheem ni bajeti ya Tz kwa miaka 3?Aliyetoa mfano ndio hajui, hadi anataka kulinganisha pesa za huyo Hashimu na budget ya TZ. Au na wewe hujui mkuu?
Sorry mkuu. Sikuona viulizo!!!! Nilishangaa UncleBen!!! nikasoma mara mbili mbili... SorryMkuu una hakika huu ujumbe ni wangu ?? Mimi nimeshangaa huyo anayesema Utajiri wa Hashim ni bajeti ya Tz mara tatu ,
Poa mkuu..Pamoja