Hasheem Thabeet yu wapi!?

Hasheem Thabeet yu wapi!?

Mafanikio yake budget ya Tanzania three years my foot...budget ya Tanzania inacheza between 18-21 trillion Tsh let's assume approximately ni 20 trillion Tsh zidisha kwa Tatu means Hashim Thabeet anafika Trillion 60???? Kalale uote tena
Vitu km hivi ww utaishia kuviona na kuvisikia kwenye media, but kwake tc normal
 

Attachments

  • 1455615528766.jpg
    1455615528766.jpg
    19.9 KB · Views: 78
  • 1455615541510.jpg
    1455615541510.jpg
    20 KB · Views: 103
  • 1455615560449.jpg
    1455615560449.jpg
    15.4 KB · Views: 70
Jamaa alifanya vizuri sana kama unakumbuka alikua overall second pick kuingia NBA hii sio ishu ndogo

Aliteleza tu kidogo na hakufikia expectations za timu walizomsajili ila alimake mpunga wa maana sababu kuna kipindi OKC walimpa contract ya millions of usd hela ndefu

Ila kwa ushauri wangu kama nafasi NBA imekua ngumu asikomae huko Leage D aende zake China au spain kuna kikapu kizuri tu na pesa ya kutosha mfano China wamewekeza sana katika michezo thats why preseasons unaona timu za NBA zinafanya safari huko ku extend their fan base
 
Vitu km hivi ww utaishia kuviona na kuvisikia kwenye media, but kwake tc normal
Sasa hapo ndugu kuna trillion 60 au hesabu ulikimbia??? Annual payment yake ni dollar 1,200,00 ambayo ni sawa na billion mbili na milioni mia tano kasoro za kitanzania mzidishie hata kwa miaka 100 bado ipo trillion mbili ambayo hata robo ya budget ya Tanzania haijafika kwa mwaka mmoja....hivi huwa unawaza kwa kutumia ubongo kweli mkuu???
 
Sasa hapo ndugu kuna trillion 60 au hesabu ulikimbia??? Annual payment yake ni dollar 1,200,00 ambayo ni sawa na billion mbili na milioni mia tano kasoro za kitanzania mzidishie hata kwa miaka 100 bado ipo trillion mbili ambayo hata robo ya budget ya Tanzania haijafika kwa mwaka mmoja....hivi huwa unawaza kwa kutumia ubongo kweli mkuu???
Bob usipanic. hapo nimetolea ni kidogo tuu...
 
Bob usipanic. hapo nimetolea ni kidogo tuu...
Sasa ndugu hapo nimepanic mini?! Nilikuwa nakuweka sawa kwenye hesabu zako utambue kwamba huyo Thabeet unayemfananisha na budget ya Tanzania unakosea sana unless otherwise hufuatilii mambo bali ni mzee wa kukurupuka
 
Sasa ndugu hapo nimepanic mini?! Nilikuwa nakuweka sawa kwenye hesabu zako utambue kwamba huyo Thabeet unayemfananisha na budget ya Tanzania unakosea sana unless otherwise hufuatilii mambo bali ni mzee wa kukurupuka
Bob usiloliju ni............
 
Mengine ni siri, so siwezi kuyaweka hadharani. but utajiri anaouogelea ni km nilivosema mwanzoni
Hahahahahahaha wewe ndugu nadhani medulla imeseize kidogo...miaka mitatu means dollar billion 30 ndio budget ya Tanzania approximately miaka mitatu....tafuta matajiri wakubwa 30 duniani angalia matajiri hao wana utajiri kiasi gani?! Trillion 60 angeingia 20 bora ya matajiri wakubwa duniani
 
Hahahahahahaha wewe ndugu nadhani medulla imeseize kidogo...miaka mitatu means dollar billion 30 ndio budget ya Tanzania approximately miaka mitatu....tafuta matajiri wakubwa 30 duniani angalia matajiri hao wana utajiri kiasi gani?! Trillion 60 angeingia 20 bora ya matajiri wakubwa duniani
I think chakula chako ni dagaa, ni mbishi like........
 
Tajiri wa kwanza Tanzania anakaribia Trilioni moja...Kenya hapo rais Uhuru Kenyeta na utajiri wake mkubwa kuliko maraisi wote Africa ana utajiri wa dollar million 500 sawa na trillion moja source Forbes magazine... Sasa huyo Hashim yupo list ya ngapi kwa sifa unazommwagia????
 
Tajiri wa kwanza Tanzania anakaribia Trilioni moja...Kenya hapo rais Uhuru Kenyeta na utajiri wake mkubwa kuliko maraisi wote Africa ana utajiri wa dollar million 500 sawa na trillion moja source Forbes magazine... Sasa huyo Hashim yupo list ya ngapi kwa sifa unazommwagia????
Duuh poleee... yako kumbe nabishana na mtu asiejua kitu. ati Uhuru Kenyatta ndo tajiri kuliko marais wote africa? hii kali aiseeee!!! wa wapi wewe Bob? Hebu m-check kwanza prezida wa Angola
 
Nashukuru umejaa mwenyewe kwahiyo Hashim Thabeet kamzidi huyo raisi Kenyata kwa utajiri???? Kama ni ndugu yako kakupiga kamba au umekurupuka...rais wa pili Africa basi Hashim ni zaidi ya familia nzima ya Kenyatta na rais wa Angola utajiri wake wote bado sio budget ya Tanzania miaka 3 au source umeitoa wapi mkuu????
 

Attachments

  • 1455620007541.jpg
    1455620007541.jpg
    45.9 KB · Views: 73
Anacheza D-League Grand Rapids Michigan
 
Nashukuru umejaa mwenyewe kwahiyo Hashim Thabeet kamzidi huyo raisi Kenyata kwa utajiri???? Kama ni ndugu yako kakupiga kamba au umekurupuka...rais wa pili Africa basi Hashim ni zaidi ya familia nzima ya Kenyatta na rais wa Angola utajiri wake wote bado sio budget ya Tanzania miaka 3 au source umeitoa wapi mkuu????
Ana mkwanja mlefu kinoma but hapendi makuu. nenda Mikocheni pembeni mwa indian ocean uone apartmentes anazojenga utazimia
 
Ana mkwanja mlefu kinoma but hapendi makuu. nenda Mikocheni pembeni mwa indian ocean uone apartmentes anazojenga utazimia
Huna jipya wewe, nabishana na mtu ambaye amekaa kubishana na si kuelewa...hata awe na mkwanja mrefu kiasi gani si budget ya Tanzania hata kwa mwaka mmoja...kubali uliteleza hapo awali basi lakini si kutetea upumbavu
 
Ana mkwanja mlefu kinoma but hapendi makuu. nenda Mikocheni pembeni mwa indian ocean uone apartmentes anazojenga utazimia
kwa hiyo hiyo ndo sawa na bajeti ya tanzania miaka 3?
 
Back
Top Bottom