Hasheem Thabeet's Journey In The NBA

Mara ya mwisho #2 overall draft pick kuwa demoted kwenye d league ilikuwa lini? Michael Olowokandi pamoja na kuchemsha kwake kote hakuwa demoted. Na hao wengine waliotokea huko kwenye d league hawakuwa first round draft picks let alone #2 overall. How this guys ended up being the #2 overall pick behind Blake Griffin beats me.
 
walitaka kum-trade lakini GSW walikataa.tatizo hasheem inasemekana mpaka mazoezini hakuwa anajituma.

labda atakuwa kajifunza na ataweza sasa kupigania maisha upya.
 
- Hivi hii D-league ni watu gani tena na huwa wanaichezea wapi na wachezaji wake kina nani mbona hatujawahi kuwasikia? Wanaonekana kwenye channel gani ya TV maana sijawawahi kuwaona ESPN au wapo kule History TV channel?

Respect.

FMEs!
nba tv huwa wanaonesha sometimes games zao.
 
hakuna.hasheem kaweka historia na yeye lol.

That's my point. Hata jamaa wa Pardon the Interruption kwenye ESPN leo walikuwa wanamzungumzia kwa mshangao mkubwa kwamba kutoka kuwa #2 overall draft pick hadi kwenye d league.....how does this happen? This guy is a bust!
 
walitaka kum-trade lakini GSW walikataa.tatizo hasheem inasemekana mpaka mazoezini hakuwa anajituma.

labda atakuwa kajifunza na ataweza sasa kupigania maisha upya.

Hasheem nadhani ni ugeni wa mazingira mapya, attention, pressure alikuwa anaipata. Inaweza kuwa iliathiri ukuaji wa game yake and the team did not help at all. Lakini haiingii akilini kwamba alikuwa hajitumi. Binafsi I don't buy that.
 
That's my point. Hata jamaa wa Pardon the Interruption kwenye ESPN leo walikuwa wanamzungumzia kwa mshangao mkubwa kwamba kutoka kuwa #2 overall draft pick hadi kwenye d league.....how does this happen? This guy is a bust!
nimesoma comments za fans wa memphis wamempaka kinoma.

mda anao lakini ni wake up call.naona leo ka-score 8 points wameshinda.jamaa anahitaji sana ku-improve manake kuna wachezaji wengi sana wana fight kupata chance aliopata yeye na hapo subiri watoto wengine wanaokuja kutoka college.

angetumia opportunity vizuri wa mwaka wake huu wa kwanza atleast angekuwa kama MBENGA lol.Mbenga yeye hana noma anapiga makofi tu huku anakula rings zake lol.
 
Hasheem nadhani ni ugeni wa mazingira mapya, attention, pressure alikuwa anaipata. Inaweza kuwa iliathiri ukuaji wa game yake and the team did not help at all. Lakini haiingii akilini kwamba alikuwa hajitumi. Binafsi I don't buy that.
kuhusu mazoezini hajitumi ni maneno ya kocha wake alipokuwa ana mlinganisha na haddadi(aliye mnyang'anya namba hasheem).

kuhusu ugeni kusemakweli body language yake nilikuwa naiona kwamba anauoga fulani.jamaa ugali sijui kaacha kula lol.
 
.......Hasheem pole sana, ila ndio ukubwa huo inabidi upambane na maisha. NBA sio lelemama inabidi ujitume kweli kweli,usione wakina Kobe wapo vile.......mwenzako Kobe anafanya mazoezi ya kufa mtu hadi ana uwanja kabisa wa kuchezea basket ball nyumbani kwake.
 

Shit....hata Mbenga hajapelekwa d league. Lakini pia Mbenga hakuwa #2 draft pick.....kwa hiyo hata akipelekwa d league au hata Europe hakuna ubaya. Hashimu was supposed to be good. You don't become #2 pick if you are not good. Hata Jordan mwenyewe hakuna #2 mwaka aliodraftiwa
 
Naam Hata Jordan baada ya kujitengenezea jina bado alikuwa anajifua sana tu. Jamaa inabidi amuombe Olajuwon/Mutombo wakati wa summer wamsaidie hasa footwork yake maana ni mzito sana bado ana muda wa kuweza kufanya vizuri na kurudi tena NBA.
 
tatizo hapo ni hilo #2 draft ,nafikiri media nayo ilichangia sana but still lawama zote nampa hasheem mwenyewe.

na sidhani hata europe anaweza ku-perform.
 
kuhusu mazoezini hajitumi ni maneno ya kocha wake alipokuwa ana mlinganisha na haddadi(aliye mnyang'anya namba hasheem).

kuhusu ugeni kusemakweli body language yake nilikuwa naiona kwamba anauoga fulani.jamaa ugali sijui kaacha kula lol.

Timu yenyewe anayochezea ni ya walewale tu. Leo wamepewa kitu na timu ya MJ, Hornets. They have a group of mediocre, na kuna wacheza wa maana wawili watatu hivi akina Mayo, Gay, Gasol na Zac. The rest ni mediocre tu, na its illogical kwamba Hasheem alikuwa hajitumi lakini anacheza, na Haddad benchi? Its simply BS.
 
kwa wachezaji waliokuwa nao memphis kusema kweli wanajitahidi sana tu.
 
Kama alikuwa namba 2 kwenye draft, inamaanisha he was good, muhimu kwa sasa ni kuangalia alipoangukia na kuichulia kama ni challenge ya kupata mafanikio zaidi ili kuwaprove wrong wote wenye shaka naye, never say never....
 
Jamani,

Memphis ndiko aliko Logo mwenyewe, sasa kama kijana wetu alichukuliwa kma pros[ect halafu anashindwa kujifua hamuoni ni tatizo?

Mmesahau alipokwenda talii Tanzania kwa wiki kadahaa huku wenzake wakijifua kwenye summer camps?

Sometimes najihisi kama tumelaaniwa vile....I mean sisi Watanzania tumelaaniwa...
 
HASHEEM THABEET: "My reaction about D-League…Uhmmm… well I'm excited to participate in the D-League. I'm looking forward to playing and maximizing this opportunity to be on court and use the skills that I have developed thus far rather than to be on the bench.

"Right now the key for me is consistency court time as I am still learning the Pro Game. I know Coach Hollins has my best interest at heart so I'm happy with his decision which I believe is to make sure that I stay active.

"Now I know this is the time for the haters and all the doubters to talk and say whatever they have because they have been waiting to bring me down for a minute. So it's my downtime and I promise I'm not backing back.


"It's a new saga that has started. Plus I'm still be getting the same cheque… it's not like they are not gonna pay me the usual.


"So I'm still good and soon I'll be back!!! And oh by the way, I'm only going there for 6 games. So I will be back sooner than they are thinking" says the towering Hasheem.

By Courtesy of Michuzi Blog

 
When the news surfaced that, Hasheem Thabeet, is headed to the Development League (D-League), the reaction among Tanzanians especially the users of social networks such as Facebook and blogs were overwhelming. I guess the big question in lots of folk’s minds was; what is a D-League? Does it suggest that he is no longer going to be playing in the usual NBA league? Well, it depends on a lot of things. You can read more about the D-League and its implications or benefits to Hasheem career by clicking here and also here.

The social networks such as Facebook and blogs were immediately stuffed with comments and opinions. Some were wishing him a “quick comeback “to the NBA, while some couldn’t hesitate to throw jabs on him in the sentiment of “we told you”.

I guess the news was “worth the talk”, because not only Hasheem is the first Tanzanian ever to play in the NBA, but also the highest draft pick ever to go to the D-League. Thabeet, who has played sparingly in his rookie season, averaging 2.5 points in 10.3 minutes over 50 games, has been optioned to the Dakota Wizards. He made his debut yesterday when Dakota Wizards played Erie Bayhawks. Dakota Wizards won 108-103.

Interview ya Hasheem Thabeet with BC (Bongo celebrity)



Before his debut in the D-League, I had caught up with Hasheem with only one question in my mind; about his reaction following the demotion to the D-League. This is how it went;

BC: Hasheem, what is your reaction to this whole thing of moving to the D-League?

HASHEEM THABEET: My reaction about D-League…Uhmmm… well I’m excited to participate in the D-League. I’m looking forward to playing and maximizing this opportunity to be on court and use the skills that I have developed thus far rather than to be on the bench.
Right now the key for me is consistency court time as I am still learning the Pro Game. I know Coach Hollins has my best interest at heart so I’m happy with his decision which I believe is to make sure that I stay active.
Now I know this is the time for the haters and all the doubters to talk and say whatever they have because they have been waiting to bring me down for a minute. So it’s my downtime and I promise I’m not backing back. It’s a new saga that has started. Plus I’m still be getting the same cheque… it’s not like they are not gonna pay me the usual. So I’m still good and soon I’ll be back!!! And oh by the way, I’m only going there for 6 games. So I will be back sooner than they are thinking.
 
mhn, he is still a baby! if this is his reaction (am saying if the above was his reaction). Otherwise, i wish him the best of luck!
 
Ni kweli attitude ikiwa positive you can prove to the world that you have mastered what you are doing. Kila la kheri Hasheem.
Hizo ni bumps za kawaida katika kila barabara tunazopitia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…