Hasheem thabit aludi nchini kuchezea paz

kitonsa

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2011
Posts
1,211
Reaction score
2,649
Mchezaji wa mpira kikapu wa kimataifa hasheem ameludi bongo kuja kukipiga na timu kongwe ya kikapu ya pazi

Baada ya kuipaisha tanzania kimataifa mchezaji huyu kaweka uzalendo mbele. Kaja kuinua mchezo huu hapa nchini

Mimi kama mtanzania nampa pongezi kwa huamuzi huu wa kizalendo
 
Bora astaafu tu.
 
Yule si yupo hapo Korogwe?
 

Huko shuleni mlienda kusomea ujinga?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…