King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
His Career is Over.......Mike ana piga hela kwenye Viatu Vyake na sio kwenye career ya basketWe una utan unawezaje kumlinganisha na mtu kama jordan ambae anapiga hela mpaka dakika hui
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi yule shareef oneal, anachezea timu gani mkuu?Hivi unajua unachoongea au ni ushabiki. Hivi unajua mpaka uingie NBA unatakiwa uwe umepitia nini na nini? Au unafikiri alichukuliwa tu eti sababu ni mrefu? Huo urefu wake kule US sio big deal labda hapa kwetu walikojaa maandunje..
Hahahaha kwani ni kweli ni chakula ya jamaa au chuki za Da Mange tu?BigG amwambie jamaa apunguze makeke basi maana kitaa twafazz[emoji848][emoji848][emoji848]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi ukute hata 1b kama deposit hana[emoji849][emoji848]..maajabu hayaKwenye miti Mkuu ...... kachezea bahati ya mtende ya kuingiza billions kila mwaka. Alipokuwa chuo alikuwa mzuri sana kuingia NBA akadoro with ZERO EFFORT.
Acha tu,Ngozi Nyeusi hizi tunaharibu sana tukipata nafasi,kati ya wanamichezo waliopoteza Hasheem ndio anaongoza!!
Shareef ni mtoto wa Shaq O'Neal.. yeye bado yuko high school anacheza kikapu huko hajafika NBA..
B??? Mbona umeenda mbali sana,mie nabet kama ana hata 100m Tsh sijui.Sasa hivi ukute hata 1b kama deposit hana[emoji849][emoji848]..maajabu haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Hata sijui mkuu asee[emoji848][emoji91][emoji16]Hahahaha kwani ni kweli ni chakula ya jamaa au chuki za Da Mange tu?
π πππππB??? Mbona umeenda mbali sana,mie nabet kama ana hata 100m Tsh sijui.
Ngoja Age isogee isogee kidogo...atajuuta mpaka atakumbuka mitama ya TID mnyamaAcha tu,Ngozi Nyeusi hizi tunaharibu sana tukipata nafasi,kati ya wanamichezo waliopoteza Hasheem ndio anaongoza!!
Ooh ok ok ..na imani atafika mbali, Shareef anajua aseeShareef ni mtoto wa Shaq O'Neal.. yeye bado yuko high school anacheza kikapu huko hajafika NBA..
Ila babake Shaq alicheza Orlando then akacheza kwa mafanikio Lakers then Cleveland na Miami..
ππππππππππNgoja age isogee kidogo...atajiuta mpaka atakumbuka mitama ya TID mnyama
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji16][emoji16][emoji1787]best hayo masihara sasa[emoji1787][emoji1787]B??? Mbona umeenda mbali sana,mie nabet kama ana hata 100m Tsh sijui.
B ni Long Money,angekuwa nayo angefanya vurugu sana!! Huyo yupo below 100m.[emoji16][emoji16][emoji1787]best hayo masihara sasa[emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi ukute hata 1b kama deposit hana[emoji849][emoji848]..maajabu haya
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hivi ukute hata 1b kama deposit hana[emoji849][emoji848]..maajabu haya
Sent using Jamii Forums mobile app
B??? Mbona umeenda mbali sana,mie nabet kama ana hata 100m Tsh sijui.
Dah !!!!!!! Jamaa mmedharau sana π π π π π πMkuu watu hawajui jinsi ambavyo ni rahisi kwa mtu kama yule kufilisika. Hana investment yoyote, hana kitegauchumi, hana biashara, hana assets, hana chochote kinachomuingizia kipato zaidi ya huo uchezaji! Na hakuna anaejua kama kweli kwa sasa anacheza au anauza supermarket. Mimi bet yangu ni kwamba jamaa hana 10m cash kwenye akaunti kwa sasa..