Pablo Blanco
JF-Expert Member
- Dec 20, 2016
- 7,328
- 6,638
Nash Mc.
Wimbo ule wa Mitihani ni bonge la Nyimbo
Ww ndo kama mm nafatilia sana hip hop ngumu lakn jamaa huyu namuonaga anapostiwa humu humu jf sikuwa kumskia kbla wala luskia nymb yak
"In the shadow of a dark destiny"Dogo mwanaharamu kalamu inanuka damu,,
Wabongo acheni nyodo wote mnakula hongo..
Shida mziki wa namna yao wabongo awataki usikiliza, ila jamaa anajua sanaNash MC ni moja kati ya vijana wasanii wanaojua maana ya sanaa yao,namkubali,anafaa,anajitambua katika sanaa.
Kabisa mkuu.. Ruhani wa mitianNash Mc.
Wimbo ule wa Mitihani ni bonge la Nyimbo