Hashim Ibwe kaimu afisa habari Azam

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,775
Reaction score
29,746



Mtangazaji Hasheem Ibwe amekuwa Kaimu Ofisa Habari wa klabu ya Azam FC kuanzia leo Oktoba 18 hadi itakapotangazwa vinginevyo.

#mwanaspoti
#mwanaspotiupdates
 
Duuuuh, haya maisha haya.
Kwa hiyo Zaka za kazi ndo basi teeeena!
 
Hivi Usemaji wa Klabu unalipa sana kuliko Utangazaji?
Ahmed Ally, Ally Kamwe na sasa Ibwe

Issue ni zile safari, hasa kwa Club kama Simba ambayo inasafiri sana kwenda nje. Ila Azam na Yanga ni hamna kitu, wana safari nyingi za kwenda Mbeya & Dodoma kuliko nje ya nchi.
 
Issue ni zile safari, hasa kwa Club kama Simba ambayo inasafiri sana kwenda nje. Ila Azam na Yanga ni hamna kitu, wana safari nyingi za kwenda Mbeya & Dodoma kuliko nje ya nchi.
Lakini hata Watangazaji husafiri pia. Kama kule Sudan huyu Ibwe alikuwepo na Yanga
 
Hivi Usemaji wa Klabu unalipa sana kuliko Utangazaji?
Ahmed Ally, Ally Kamwe na sasa Ibwe
Inalipa San per diem zakusafiri na timu Ni nyingi mno na nitamu utangazaji michosho
 
Issue ni zile safari, hasa kwa Club kama Simba ambayo inasafiri sana kwenda nje. Ila Azam na Yanga ni hamna kitu, wana safari nyingi za kwenda Mbeya & Dodoma kuliko nje ya nchi.
Zaka punguza ngenga
 
Uzuri wa kazi ya usemaji sio ya kukaa ofisini...huna presha ya kuwahi kazini, kazi yako unafanya nje ya ofisi, media tours, unasafiri sana hivyo inakusaidia kiakili kupunguza msongo wa mawazo, unaenjoy trips kutazama mechi, unakutana na mashabiki na watu wapya daily. Per diem nyingi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…