Papaa Mobimba
JF-Expert Member
- Jan 27, 2018
- 882
- 3,337
Huyu naye akili zake haziko sawa apelekwe milembe akapimweRais akishakuteua kafanye kazi hachana na mambo ya kumpenda Rais ni wajibu wake kuteua maana hawezi kufanya kazi mwenyewe, watu wa CCM wao kila wakati wanahangaikia uteuzi tu, Rais Magufuli yeye alikuwa anachukua pesa ya umma anawapa wapinzani wamuunge mkono.
Pia soma
Inawezekana Kuna watu wanamuunga mkono alichosema! Yaani Rais akuteua halafu uache kumuunga mkono na kimpenda? Kuna haja ya kuwapima akili viongozi na wafuasi wa upinzani.Rais akishakuteua kafanye kazi hachana na mambo ya kumpenda Rais ni wajibu wake kuteua maana hawezi kufanya kazi mwenyewe, watu wa CCM wao kila wakati wanahangaikia uteuzi tu, Rais Magufuli yeye alikuwa anachukua pesa ya umma anawapa wapinzani wamuunge mkono.
Pia soma
Wewe ndio huna akili za kung'amua alichosema Hashimu. Sikiliza tena pengine unaweza kuelewa.Inawezekana Kuna watu wanamuunga mkono alichosema! Yaani Rais akuteua halafu uache kumuunga mkono na kimpenda? Kuna haja ya kuwapima akili viongozi na wafuasi wa upinzani.
Kwahiyo wewe unaweza ukafanya kazi na bosi usiyempenda?Wewe ndio huna akili za kung'amua alichosema Hashimu. Sikiliza tena pengine unaweza kuelewa.
Kwa kukusaidia ile ni kazi ina descriptions na kila kitu si lazima umpende raisi ndio ufanye kazi. Wewe kazini kwako ni lazima umpende boss wako?
kwani tunafanya mapenzi au kazi? kwanza nimpende ili iweje? naipenda kazi sio boss.Kwahiyo wewe unaweza ukafanya kazi na bosi usiyempenda?
Nyie ndio wafanyakazi pasua vichwa makazini.kwani tunafanya mapenzi au kazi? kwanza nimpende ili iweje? naipenda kazi sio boss.
Wewe ni mtoto wa kike mpaka ufanye kazi na boss unaempenda?
Kati yake na wewe ni nani akili haziko sawa?Kwamba alichokizungumza kuna mtanzania ambaye hujui ukweli huo?Na kama yupo Mtanzania ambaye anapinga alichozumguza hapo huyo Mtanzania akapimwe akili MilembeHuyu naye akili zake haziko sawa apelekwe milembe akapimwe
Magufuli alistahili kuwa wapi.Huyu naye akili zake haziko sawa apelekwe milembe akapimwe
Kwani uongo!? Magufuli Kuna ujinga mwingine aliufanya kama sio msomi, Tena PhD kabisa.Huyu naye akili zake haziko sawa apelekwe milembe akapimwe
Marekani umeona wanamsifia Biden anaupiga mwingi ? Hata Kenya tu hapo unaona viongozi tofauti na kina Gachagua wanamsifu Ruto kila saa. Nchi hii ni masikini pesa inayotumiwa ku print picha za mama kwenye billboard na T-shirt ingetosha kujenga kiwanda kimoja na kuajiri watu zaidi ya 200Inawezekana Kuna watu wanamuunga mkono alichosema! Yaani Rais akuteua halafu uache kumuunga mkono na kimpenda? Kuna haja ya kuwapima akili viongozi na wafuasi wa upinzani.