Uchaguzi 2020 Hashim Rungwe Spunda atia nia ya kugombea Urais, asema Sera yake ya kuimarisha lishe bora kwa Watanzania ipo pale pale

Uchaguzi 2020 Hashim Rungwe Spunda atia nia ya kugombea Urais, asema Sera yake ya kuimarisha lishe bora kwa Watanzania ipo pale pale

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Hashim Rungwe Spunda ametia nia kugombea Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba kwa tiketi ya CHAUMA

Amesema, "Sera yangu ya kuimarisha lishe kwa watanzania bado iko palepale. Nitahakikisha Mtanzania anakuwa na uwezo wa kula kuku mzima na wanafunzi wale ubwabwa mara kwa mara. Elimu bure bila lishe bora haina tija, hata viwanda bila lishe bora haviwezi kuzalisha kwa manufaa"

1595051945880.png
 
Hashim Rungwe Spunda ametia nia kugombea Urais wa Tanzania katika Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba kwa tiketi ya CHAUMA

Amesema, "Sera yangu ya kuimarisha lishe kwa watanzania bado iko palepale. Nitahakikisha Mtanzania anakuwa na uwezo wa kula kuku mzima na wanafunzi wale ubwabwa mara kwa mara. Elimu bure bila lishe bora haina tija, hata viwanda bila lishe bora haviwezi kuzalisha kwa manufaa"

View attachment 1509973
Spunda bana. Yaani hapo yupo serious kabisa anaona ana chance nzuri tu ya kuukwaa urais
 
Rungwe na yule mwenzie Dovutwa huwa wanasikika tu wakati wa uchaguzi!


Hapana Huyu huwa anasikika hata kipindi ambacho siyo cha uchaguzi.

Huwa anaitishaga mikutano na waandishi wa Habari na huwa anazungumza hoja zenye nguvu sana!

Mara kadhaa amekuwa akifanya hivyo.

Ningekuwa na clips zake ningekurushia uone akishusha Nondo na madini mazito!

Jamaa yuko vizuri sana !
 
Back
Top Bottom