JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Kikao kipi cha ccm ambacho mbowe ameshawahi huzuliaHuyu Mzee muwazi Mbowe ananyamaza kimywa utafikiri yeye huwa hapewi kwenye hivyo vikao
Kama kiongozi mwenykiti wa umoja wa vyama ambavyo Rungwe pia huhudhiria ndivyo hivyo anavyoongelea RungweKikao kipi cha ccm ambacho mbowe ameshawahi huzulia
Na hata sisi tukienda kwenye mikutano ya CHAUMA, wanatupa ubwabwa, tutaendelea kuubugia na kuufakamia ubwabwa huo vilivyo bila mbambamba yoyote tukingojea bahari isogezwe morogoro 🐒
Hashim Rungwe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) akihojiwa na Edwin Odemba anasema:
“Kila tukienda kwenye mikutano ya vyama vya Siasa CCM inachukua pesa za wananchi inatulipa ili ionekane nchi hii kuna demokrasia, hakuna dawa hosptalini ila pesa za kutulipa wanapata na sisi hatutaacha kuzichukua.”
Chanzo: Star TV
Huo ndo ukweli siasa inalipa saana.kuna wakati huwa naona ata hawa covid 19 wanafanya vizuri kula hela za wananchii wajinga.anayepewa hana kosa mwenye kosa ni mtoaji.
Hashim Rungwe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) akihojiwa na Edwin Odemba anasema:
“Kila tukienda kwenye mikutano ya vyama vya Siasa CCM inachukua pesa za wananchi inatulipa ili ionekane nchi hii kuna demokrasia, hakuna dawa hosptalini ila pesa za kutulipa wanapata na sisi hatutaacha kuzichukua.”
Chanzo: Star TV
'Kula' ni kwa CCM, Ila KURA ziende kwa Wapenda Haki...Ccm hawataoi fedha hizo mifukoni mwao.
..Hizo sio fedha binafsi za Mama Abduli, au za Husseni.
..Ccm wanapokea 3.2 BILLION kila mwezi kama ruzuku inayotokana na kodi za Watanzania.
..Mabilioni hayo ndiyo yanayoiwezesha Ccm kufanya vituko na vitimbi vya kila aina ikiwemo kununua magari ya kifahari, mabango ya Mama kila mtaa, na hata kununua wapinzani.