johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Mwamba ajiandae!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chairman Jo kasema jiandae kutokaMwamba ajiandae!
That is dissapointingly unfortunate, unfair..uonevu wa hali ya juu sanaMbona michezo ya kitoto hiyo
Kwenye hizi taasisi watu ni washamba sana.!Ndiyo tabia zao hawa wapuuzi
Dawa yake ni ukiachiwa tu ukitoka nje ya mahakama unaangalia upenyo unatimua mbio za kasi 5GHii sheria ya mahakama kumwachia mtuhumiwa huru halafu punde tu polisi ikamkamata nje ya vyumba vya mahakama imefutwa. Hawa polisi huwa wanazingatia mabadiliko ya sheria kweli ama wapo static tu.
Hatari snKwenye hizi taasisi watu ni washamba sana.!
... wanabana weee halafu wanakuja kuachia hadi mnashangaa!Wanaanzia mbali ili kumfikia Mwenyekiti & Makomandoo
Hapana mkuu wala siyo kukasirika kuna watu wanauliza pasipo kusoma post. Unatakiwa kumrudisha asome tena....Kwa hiyo umekasirika kuachiwa Mzee baba, hata unashindwa kumjibu kiuungwana vipi siku mwenyekiti akifutiwa kesi michongo🤔.