Licking Wounds
JF-Expert Member
- Nov 28, 2014
- 3,979
- 5,146
Kijana anasema ‘I was too pushy’ 😀😀Watoto wa English medium bana
Me hapo nimekumbuka mbupu la Rock Ross Push it to the limit
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kijana anasema ‘I was too pushy’ 😀😀Watoto wa English medium bana
Hamna najuta kabisa, nilitaka awe mke.Na angekubali umchakate mapema ungeenda kwenye uzi wa kula kimasihara kuweka mchango wako huko,
Kitendo cha kumtukana kina ashiria kabisa kua huyo Mwanamke alipotea njia kua na mazowea na mtu kama wewe,huyo hawezi kurudi nyuma coz ameshaona dalili kua huko mbele utamnyanyasa sana,
Tafuta wa type yako ambae ukimtukana nae anakutukana mpaka majirani wanajaa kuja kushuhudia rap ya matusi bila beats.
Kama atakutaka basi yeye ndiye atakaye kutafuta ila ukijifanya kumtafuta na kumbembeleza utakua umeharibu kila kitu,mpaka sasa unaonekana upo weak sana,kua na roho ya kiume kisha piga kimya kama hakijatokea kitu,siku mbili tu umeshachanganyikiwa hivyo?Hamna najuta kabisa, nilitaka awe mke.
Exactly, I messed up.Kama atakutaka basi yeye ndiye atakaye kutafuta ila ukijifanya kumtafuta na kumbembeleza utakua umeharibu kila kitu,mpaka sasa unaonekana upo weak sana,kua na roho ya kiume kisha piga kimya kama hakijatokea kitu,siku mbili tu umeshachanganyikiwa hivyo?
What comes easy won't last long,
and what lasts long won't come easy.
You have already ruined everything Nigger, messing up in such a way is too bad ,but don't give up on her as I know she is still thinking of you, Go politely with ure hands back be calm ,Sure you can make it.Wakuu nipo dilemma mwenzenu, kuna msichana week jana tu hapa nimekumbana nae mtaani she seemed so hot 🔥, na sikuweza jizuia kuomba namba, tulianza kama urafiki hivi, days went by na bond flani kama tunaendana kila kitu apendacho nami pia.
Hana mapepe kama mademu wa siku hizi, she's humble and smart ila usi cross borders. Wakuu I was like huyu lazima nipambane mpk tone la mwisho.
Nilishazoea kumanifest tendo haraka ila hapa nimegonga mwamba yaani kumleta kwenye line hata kwa pesa huwezi. Ila kadri tulivyo kuwa tunazoeana nilianza kuona kabisa she's having affection.
Sasa nimeyakoroga! This is because of my need kumchakata mapema kushindikana. Jamani mtanisamehe nilimtukana, na kumwambia tusitafutane tena, kisa some simple things.
Hii strategy huwa naitumia sana ili kuwavuta waje hataka. Sasa kaenda mazima siku ya 2 now now sms or call... Kadri siku zinavyokwenda ndo nazidi kugundua she was a wife material.
Now lazima atakuwa kasha loose trust na mimi, how do I clean up this mess? I was too pushy.
Wanaenda shule kitu pekee wanachoweza ni kuongea kingerexa hata Chupi zao hawawezi kufua.Watoto wa English medium bana
Yap, we need to change. Some girls aren't to be played with.You have already ruined everything Nigger, messing up in such a way is too bad ,but don't give up on her as I know she is still thinking of you, Go politely with ure hands back be calm ,Sure you can make it.
Nina tabia kama hzo but nashukuru Mungu nmebadika kdg.
Brother wewe ni player play your game like pro yaani hapo unakwenda hospital za cheap aweke ile kanula. Halafu unapiga picha na kumtumia kuwa ndio unatoka hospital, ukiwa umelazwa hapo tokea umalize ongea nae mara ya mwisho.Now lazima atakuwa kasha loose trust na mimi, how do I clean up this mess? I was too pushy.
Huoni nitampa kichwa na kumfanya aone mm mzembe? Wacha nikaushe kwanza atarudi najuaBrother wewe ni player play your game like pro yaani hapo unakwenda hospital za cheap aweke ile kanula. Halafu unapiga picha na kumtumia kuwa ndio unatoka hospital, ukiwa umelazwa hapo tokea umalize ongea nae mara ya mwisho.
Ukikausha nae anakausha wakati wewe ushaanza kumpenda na kuhisi ni wife material.Huoni nitampa kichwa na kumfanya aone mm mzembe? Wacha nikaushe kwanza atarudi najua