Arnold mrass cannambo
JF-Expert Member
- Apr 13, 2018
- 4,067
- 2,640
Hapo kwa wanawake sikupingi Wakenya watakimbilia Tz kutafuta wanawake ama Kibiashara. Lakini watanzania ni Omba omba,Vilema na Maskini wengiwengi ndio hujazana kenya wakitarajia maisha bora.
Tanzania haina wananchi ambao ni wakimbizi, wakimbilie Kenya huku wamekosa nini? Kenya wake kwa waume mkifika Tz mnang'ang'ania kuolewa na Watz kisa huko kwenu maisha magumu hakuna fursa.