jerrysonkiria
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 2,228
- 2,901
Baba alimuuliza mwanae:
Baba:hivi mwanangu nikikuchapaga hasira zako unazimaliziaga wapi?
Dogo:nazimaliziaga chooni!
Baba:kivipi unamaliziaga chooni?
Dogo:naendaga kusugua tundu la choo kwa kutumia mswaki wako...
Yesu na maria ningekua mimi ningemtoa sadaka huyu dogo hahahahaha
Baba:hivi mwanangu nikikuchapaga hasira zako unazimaliziaga wapi?
Dogo:nazimaliziaga chooni!
Baba:kivipi unamaliziaga chooni?
Dogo:naendaga kusugua tundu la choo kwa kutumia mswaki wako...
Yesu na maria ningekua mimi ningemtoa sadaka huyu dogo hahahahaha