Hasira zetu tuelekeze kwa wabunge, maana bila wao yatokeayo leo yasingetokea

Hasira zetu tuelekeze kwa wabunge, maana bila wao yatokeayo leo yasingetokea

HIMARS

JF-Expert Member
Joined
Jan 23, 2012
Posts
70,791
Reaction score
98,334
Bunge letu lishaonesha ni kibogoyo, haliwakilishi wananchi, halisimamii serikali, bunge linalopitisha bajeti bila kufikiri ya kesho.

Hasira zetu tuelekeze kwa wabunge, maana bila wao yatokeayo leo yasingetokea.
 
Upinzani tuliwaona kama wapiga kelele, Ila umuhimu wao tunauona

Ila sijui kwanini The late aliwaza nini kulazimisha kijani ku takeover
 
Bunge linajiwakikisha wao kama wao

Nawashanga wale wanaongaika kuwapigia kura

Ova
 
Bunge letu lishaonesha ni kibogoyo

Bunge letu haliwakirishi wananchi

Bunge haliisimamii serikali

Bunge lapitisha bajeti bila kufikiri ya kesho

Hasira zetu tuelekeze kwa wabunge maana bila wao yatokeayo leo yasingetokea
Hapa ndipo utakumbuka umuhimu wa upinzani,mbunge kutoka jimbo eneo ninalo ishi huwa namuona anatafuna karanga tu mle na kupiga soga.khaaa
 
Kwa uchaguzii ujao tusiangalie chamaa , tuchague yulee ambayee ni boraaa na sio chamaa , mamboo ya chamaa tuwaachie wahengaa, mara hiki chama ndicho kilifanya ivii 1962 tuwaachie wazee tuchague wabungee wa kuelewekaa
 
Bunge linaiwakilisha Serikali kwa Wananchi..

Bunge linaitetea Serikali.

Bunge linaisifu Serikali.

Bunge linapokea maagizo ya Serikali na kuyatekeleza.
 
anko maheraaaa 2025 kwenye uchafuzi mwingine anawarudisha kwa kishindo kwenda kula hela za majinga ya danganyika, watu hawataki bra bra bra
 
Bunge lina mwana FA na Babu Tale!!
Nikuulize ulicho mzidi mwana FA ni Nini maana binafsi namfahamu ? Sikufahamu ila mwana FA anayosifa ya kuwa mbunge ana Elimu,exposure,pesa na uongozi.
 
Bunge letu lishaonesha ni kibogoyo

Bunge letu haliwakirishi wananchi

Bunge haliisimamii serikali

Bunge lapitisha bajeti bila kufikiri ya kesho

Hasira zetu tuelekeze kwa wabunge maana bila wao yatokeayo leo yasingetokea
Ukiwa na yule TUlia pale mbele anayewakilisha mihimili mingine! AONDOKE mapema wanambeya mmetusomesha namba vya kutosha
 
Nikuulize ulicho mzidi mwana FA ni Nini maana binafsi namfahamu ? Sikufahamu ila mwana FA anayosifa ya kuwa mbunge ana Elimu,exposure,
1661506556864.png
na uongozi.
Mwana FA ana PESA! sifa ya UBUNGE! watz walioangukia kwenye mfereji wa maji machafu hao!
 
Kwa uchaguzii ujao tusiangalie chamaa , tuchague yulee ambayee ni boraaa na sio chamaa , mamboo ya chamaa tuwaachie wahengaa, mara hiki chama ndicho kilifanya ivii 1962 tuwaachie wazee tuchague wabungee wa kuelewekaa

Sasa hivi wabunge wanawekwa madarakani kwa utashi wa rais. Kura unazosema ww ni kupotezeana muda.
 
Hiyo ndiyo legacy ya JPM kuiba uchaguzi mazima. Sasa tunaona faida yake, tumeishia kuwa na bunge la ndio mzee na bora liende. Hadi 2024 tutakuwa tumenyooka kwa tozo na vifurushi.
 
Back
Top Bottom