Lukub
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 3,622
- 4,100
Kama hauna uwezo wa kiuchumi tafuta pesa utaenda kuiba Hela za umma kuliko unaowaita wezi.Mataifa yote yaliyoendelea ndio maana yameweka kigezo Cha kiuchumi mbele Kwa Kila anayetaka kuwa kiongozi wa umma.Mwana FA ana PESA! sifa ya UBUNGE! watz walioangukia kwenye mfereji wa maji machafu hao!