Uchaguzi 2020 Hasna Mwilima hafai kupeperusha Bendera ya CCM Kigoma Kusini

Uchaguzi 2020 Hasna Mwilima hafai kupeperusha Bendera ya CCM Kigoma Kusini

Nimekuuliza niwapi hapa Tz walichagua mbunge anaejielewa hasa kutoka ndani ya CCM?. Jimbo la Kigoma kusini nimefika mara nyingi na napafaham vizuri nimoja ya jimbo linalojitahidi kubadilisha wabunge kadri wa wezavyo na hakuna mbunge alielitumikia hilo jimbo vipindi viwili vinavyofuatana.

1995-2000(Msambia)
2000-2005(Kifu)
2005-2010(Msambia)
2010-2015 (Kafulila)
2015-2020 (Husna)

Kwa mlolongo huo unasemaje hawajitambui kama wananchi wanabadili mbunge kila baada ya miaka mitano?. Nahapo kuna wabunge wawili kutoka NCCR MAGEUZI ingawa wote kwa sasa walishahamia ccm ,kama uchaguzi ukiwa huru na haki nakama huyo Husna hakufanya Jambo la maana basi watampiga chini. Hilo jimbo nalifahamu vizuri maana ndio kwao ni bimkubwa.
Kijana ubora wa uongozi unaupima kwa Maendeleo sio kunitajia orodha ya viongozi.
 
Ndiyo huyu alijisifia kuwa anawazidi urembo wale Wahudumu wa Bombadia na Boing siyo.Sema Wapiga kura muda mwingine akili huwa zinahama kabisa.Wanaancha mtu muhimu mwenye maono na weledi wanawaletea kioja tu. Huyo mama amekaa kishangingi tu hakuna anachoweza kukipigania kwenye maendeleo.
 
Kwa hivyo akipitishwa mtampa kura ili muendelee kuumia tena kwa miaka mitano au mtampa kura mpinzani? Uamuzi uko mikononi mwenu na sio kwa member wa kamati kuu. Watanzania wanatakiwa kuanza kupiga kura kumchagua mtu anaewafaa na sio chama anachotoka.
 
Sawa kafulila uliambiwa usiwe na tamaa matokeo yake umeangukia pua, mwache Asina ajimwambafai
 
Kama hamumtaki subirini muonyeshe hasira kwenye uchaguzi mkuu na msimamie kura zenu..tofauti na hapo mtakuwa mnaimba taarabu tu..
 
Habari wana Jukwaa.

Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.

Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.

Kwanini amechokwa?

1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.

2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.

3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.

4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.

5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.

Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Utakuwa umetumwa na Tumbili wewe!
 
Habari wana Jukwaa.

Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.

Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.

Kwanini amechokwa?

1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.

2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.

3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.

4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.

5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.

Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Ni kweli hafai ila kwakuwa kamlambisha mchanga Kafulila sisi tunamuona anafaa.

Husna ni mbunge hewa halafu Kafulila ni malaya wa kisiasa. Nani mwenye afadhali hapo????
 
Nimekuuliza niwapi hapa Tz walichagua mbunge anaejielewa hasa kutoka ndani ya CCM?. Jimbo la Kigoma kusini nimefika mara nyingi na napafaham vizuri nimoja ya jimbo linalojitahidi kubadilisha wabunge kadri wa wezavyo na hakuna mbunge alielitumikia hilo jimbo vipindi viwili vinavyofuatana.

1995-2000(Msambia)
2000-2005(Kifu)
2005-2010(Msambia)
2010-2015 (Kafulila)
2015-2020 (Husna)

Kwa mlolongo huo unasemaje hawajitambui kama wananchi wanabadili mbunge kila baada ya miaka mitano?. Nahapo kuna wabunge wawili kutoka NCCR MAGEUZI ingawa wote kwa sasa walishahamia ccm ,kama uchaguzi ukiwa huru na haki nakama huyo Husna hakufanya Jambo la maana basi watampiga chini. Hilo jimbo nalifahamu vizuri maana ndio kwao ni bimkubwa.
Kiufupi, Kafulia amepishana na gari la mshahara jimbo hili 2020-25 lilikuwa lake!
 
Habari wana Jukwaa.

Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.

Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.

Kwanini amechokwa?

1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.

2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.

3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.

4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.

5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.

Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Mtaumia kwa ujinga wenu,kwani ni lazima mchague ccm?
 
Huu ni unafiki au Mimi sielewi, nimelisikia hili mahali pengi kwamba alieshinda hapendwi, nani kampigia kura? Unamchaguaje mtu usiemtaka, usiemtaka kwann umpe kura yako? Ingekua humtaki, kura hukumpa, akashindwa, jina likaenda likarudi, hapo sawa.
 
Back
Top Bottom