Uchaguzi 2020 Hasna Mwilima hafai kupeperusha Bendera ya CCM Kigoma Kusini

Uchaguzi 2020 Hasna Mwilima hafai kupeperusha Bendera ya CCM Kigoma Kusini

Wewe utakuwa ni Kafulila tu. Huna lolote wana kigoma wamekukataa sasa unaanza majungu yasiyo na maana yeyote. Kama angekuwa hana kauli nzuri , hafiki jimboni na hana msaada na wananchi wake je mbona wamemchagua tena kwa kishindo? Au unataka kutuambia wajumbe waliomchagua sio wakazi wa jimbo hilo? Acha ushamba wewe kama umeahindwa we kubali matokeo tu
Kafanya kufuru ndio maana kashinda
 
Kafulila anatamaa ya madaraka, kateuliwa U-RAS lakini akaona hajatosheka kiasi cha kumdhalilisha Mh.Rais.

Katoa rushwa kwa wajumbe, kupitia rafiki zake Ahmad Muarabu, Omar Msiki, Kisusa na vijana wake wengine. Alidhani hatuoni namna anavyogawa rushwa kwa wajumbe?

Huyu jamaa hafai, Mh.Rais asimteuwe tena kokote wamuache na tamaa zake.
Tena kafulila ni jipu kabisa kwanza kwanini anazunguka vyama Mara CDM, Nccr, Mara CCM Raisi kamtoa jalalani hakuwa nakazi akampa URAS badala angetulia na walipewa onyo, hakuwa mtii kaenda kugombea na kashindwa, Sasa ana mchafua huyo aliye mshinda.
Nawapongeza wajumbe kwa kumkata huyo kafulila mapema mno licha ya kutoa rushwa zake
 
Habari wana Jukwaa.

Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.

Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.

Kwanini amechokwa?

1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.

2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.

3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.

4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.

5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.

Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Hapa ndio tuanapofeli watanzania kwan ni lazima umpigie kura yeye kwenye uchaguzi mkuu , mchagueni hata waupinzani mkiona anafaa , acheni kuchagua chama , kwa system hii mtaendelea kulia Sana , acheni kua na misimamo ya kijinga namna hiyo
 
Habari wana Jukwaa.

Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.

Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.

Kwanini amechokwa?

1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.

2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.

3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.

4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.

5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.

Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.

Uchaguzi umefanyika na Husna kashinda; demokrasi inataka aliyepata kura nyingi ndiye apite labda kama ana mambo mengine yanayomkosesha sifa ambayo wapiga kura walikuwa hawajui. Ni kweli hata mimi sikufurahishwa na ushindi wa Husna kutokana na kauli zake mbovu; aliwahi kusema kuwa wafanyakazi wa ndege wana sura mbaya wakati yeye mwenye sura yake utadhani ana tumbo la kuhara. Kiongozi yoyote hatakiwi kutumia Bunge kuzungumzia maumbile ya watu wengine hasa hilo la ubaya wa sura za wanawawake.

Hata hivyo; hongera zake kashinda uchaguzi wa awali.
 
Habari wana Jukwaa.

Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.

Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.

Kwanini amechokwa?

1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.

2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.

3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.

4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.

5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.

Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Umesikika
 
Habari wana Jukwaa.

Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.

Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.

Kwanini amechokwa?

1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.

2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.

3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.

4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.

5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.

Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
[/QUOTE)

Lakini nasikia Barbara zimekuja huko Kigoma Kusini mpaka maeneo yenu ya mwisho wa Ziwa na amejenga gati ya meli huko
 
Habari wana Jukwaa.

Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.

Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.

Kwanini amechokwa?

1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.

2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.

3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.

4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.

5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.

Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Kawapiga tena? Huyu ni jike la Simba, sauti ya kuunguruma. Wamemkubali ndio maana wamempigia. Nasikia Kafulila kaula wa chuya; kakosa mwana na maji ya moto!!
 
Tumbili kapoteza uras kizembe sijui kwanini hatulii sehemu
Tamaa!! U RAS si cheo kidogo lakini kijana kakimbia kutafuta ubunge kapigwa na mwanamke. Hiyena hiyena wanasema kumkoma nyani gladi!
 
Vigezo vipi umetumia kusema kimei Ni Kiongozi mzuri ?

Huyo kimei taja Mambo aliyosaidia huko kwao kipndi ana nafasi crdb !! ... Naomba uyataje hapa maana nimefika wilaya zote za mkoa wa kilimajaro. Au bado unadhani uongozi Ni elimu kubwa kama Mwakyembe wakati kwao kyela Hakuna alichofanya.

Uongozi Bora ni kufanikisha mahitaji ya wananchi wako serikalin bila kujali elimu yako. Kwa ujinga wa watu wa huko kigoma kusini angegombea kimei wangemchangua. Hujiulizi kwa nini Mwakyembe amekatwa huko kwao kyela ?
Tofauti ya mwakyembe na kimei ninafasi ,mwakyembe hakuwatendea haki Kyela kwa kujali maslahi ya nchi ,wakati uwakilishi umetoka kyela lakini kimei hakuwa na nafasi hiyo kimei akipewa hiyo nafasi nnamjua huyo mchaga anapenda wa kwao kitendo cha kuajiri wachaga wakutosha CRDB akiwa MD unaona wazi awezi kuwatelekeza watu wa jimboni kwake
 
Back
Top Bottom