Uchaguzi 2020 Hasna Mwilima hafai kupeperusha Bendera ya CCM Kigoma Kusini

Uchaguzi 2020 Hasna Mwilima hafai kupeperusha Bendera ya CCM Kigoma Kusini

Tofauti ya mwakyembe na kimei ninafasi ,mwakyembe hakuwatendea haki Kyela kwa kujali maslahi ya nchi ,wakati uwakilishi umetoka kyela lakini kimei hakuwa na nafasi hiyo kimei akipewa hiyo nafasi nnamjua huyo mchaga anapenda wa kwao kitendo cha kuajiri wachaga wakutosha CRDB akiwa MD unaona wazi awezi kuwatelekeza watu wa jimboni kwake
Huna unalojua wewe Bora ukae kimya !!!
 
Habari wana Jukwaa.

Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.

Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.

Kwanini amechokwa?

1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.

2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.

3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.

4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.

5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.

Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Kwani hiyo miaka mitano nyie mlimpigia kura??nyie mlimchagua kafulila yeye akafanya makeke yake akatangazwa. Sasa mlitaka awanyenyekee wakati hamkupigia kura.
 
Habari wana Jukwaa.

Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.

Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.

Kwanini amechokwa?

1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.

2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.

3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.

4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.

5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.

Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Mlikosea kuchagua... ndio maana hamuwezi kupata maendeleo...
Kwani mbunge wa hapa ni wa chama gani?
Ccm woyeeer!!
 
Waliompigia kura hadi akaongoza ni wananchi wa Kenya?
Kura kapigiwa na wajumbe.

Na kwakilichotokea, wajumbe walisukumwa kuchagua waliowachagua kulingana na rushwa na sio walichotumwa na wanachama wanaowawakilisha.

So chaguo la mjumbe sio lazma liakisi chaguo la wananchi waliowatuma wajumbe.
 
Habari wana Jukwaa.

Nimefurahi kuona kwa kiasi kikubwa wajumbe wa baadhi ya maeneo kuwachinjia mbali vigogo na watia nia wenye majina na ushawishi mkubwa, Kwa Kigoma Kusini hali imekuwa tofauti Sana kwani mtia Nia asiyekubalika na asilimia kubwa ya wananchi jimboni ndio kapitishwa na wajumbe.

Mtia Nia huyu asiyelikumbuka Jimbo Mara baada ya kuchaguliwa, amekosa mvuto na Ushawishi kwa wananchi wa Jimbo la Kigoma Kusini ,Mwaka 2019 alishawahi kuzomewa mbele ya PM.

Kwanini amechokwa?

1/Tangu achaguliwe 2015-2020 amefika jimboni sio zaidi ya Mara 4.
Mara ya Mwisho alifika waziri mkuu alipokuwa na ziara jimboni.

2/ Amekuwa Hana kauli nzuri kwa Wananchi, akiombwa kuja kusikiliza kero za wananchi.

3/Kutokamilisha Miradi ya Maendeleo.

4/ Kauli za majigambo na kejeli kwa Wananchi wake.

5/ Hasikiki akitoa kero za Jimbo, Jimbo Lina kero na changamoto nyingi.

Akipitishwa Hasna Mwilima Wana Kigoma Kusini watakuwa na maumivu mengine ya miaka mitano. Chonde Chonde member wa Kamati kuu yoyote Alieko JF alifikishe hili.
Akipitishwa si-ndio raha yenyewe, kwamba mfanye kweli kwenye sanduku la kura. Kama uyasemayo ni ukweli na ukweli mtupu. Au huko nyie mnachagua CHAMA?
 
Back
Top Bottom