Hassan alikutana na Mary katika mtandao kwa facebook.Wameongea mda wa wiki mbili wakaamua kutana ana kwa ana katika mkahawa.Hassan alikua na shillingi elfu ishinirini, alimlipia Mary nauli ya teksi elfu kumi.
Walipofika kwa mkahawa Mary ameitisha kuku, soda na viazi ya shilingi elfu kumi na moja. Mary amemtuma hassan nje akanunue muda wa maongezi .Mary amesema anataka kuongea na mamake kwa simu. Hassan yuko nje anashanga afanyaje ? Pesa hazitoshi atoroke au La?
Walipofika kwa mkahawa Mary ameitisha kuku, soda na viazi ya shilingi elfu kumi na moja. Mary amemtuma hassan nje akanunue muda wa maongezi .Mary amesema anataka kuongea na mamake kwa simu. Hassan yuko nje anashanga afanyaje ? Pesa hazitoshi atoroke au La?