Cha IndiaHizi tanzia zitarudi kwa kasi ndani ya wiki hii,lengo ni watu wachache kutaka tupate chanjo ,wengine washavuta mpunga
Hizi tanzia zitarudi kwa kasi ndani ya wiki hii,lengo ni watu wachache kutaka tupate chanjo ,wengine washavuta mpunga
Huko Ubelgiji alikutana na Tundu Lisu?
RIP
Ebu twambie umaarufu wa huyu mtu maana naona unamsifia sifia tuuuMkazi maarufu wa mjini Morogoro, Hassan Bantu pichani chini amefariki dunia jana katika hospitali ya Muhimbili alikopelekwa baada ya kujivua kwa muda mfupi:
Hassan Bantu alikuwa mfanyabiashara maarufu mzawa baina ya wengi wenye asili ya kiasia mjini humo.
Katika kipindi chake, Bantu amekuwa mwanachama wa kutegemewa wa CCM akishika nafasi nyingi za utendaji katika chama hicho kikongwe.
Alale pema peponi Hassan Bantu.
Kwani mimba ya Lissu bado hujajifungua?Huko Ubelgiji alikutana na Tundu Lisu?
RIP
Wewe wacha kupata hiyo chanjo maana hata ukifa hauna utakaye muumizaHizi tanzia zitarudi kwa kasi ndani ya wiki hii,lengo ni watu wachache kutaka tupate chanjo ,wengine washavuta mpunga
Round ya tatu ipo njiani tukae mkao wa kula