Hassan Bumbuli: Tumehuzunika

Hassan Bumbuli: Tumehuzunika

ninosi

Senior Member
Joined
Jun 30, 2022
Posts
151
Reaction score
333
Matokeo ya leo yametuhuzunisha, huzuni imeongezeka maradufu kutokana na makelele na vicheko vya watani zetu.

Wanatucheka, wanatusema, wanatutambia! Ni haki yao, kwani kwa hakika wao wanarekoni nzuri na bora zaidi kuliko sisi kwenye michuano ya kimataifa.

Wanarekodi ya kucheza Fainali ya Kombe la CAF (Sasa Shirikisho) 1993. Na misimu hii mitatu kuanzia 2020/21 hadi leo, watani wameshinda mechi 5 kati ya 14 za Kimataifa akiwa ugenini (As Vita, Plateau, Galaxy, Nyasa, Agusto).

Kwenye uwanja wa nyumbani wao wanatamba sana wameshinda mechi 13 kati ya 14, kati ya hizo wameshida mechi 6 za group stage na mbili za Robo Fainali.

Hatuna cha kuwatambia kwenye hili, sisi katika mechi 13, tumeshinda mechi 3 tu, ugenini 2 (Township na Zalan🤔) na kupoteza 6, nyumbani tumeshinda mechi 1 (Zalan), tumefungwa 2 (Pyramids, Rivers) na sare 4 (Township, Zesco, Hilal na African).

Acha watucheke, wanayo sababu ya kutucheka, vicheko vyao vitufanye tutafute maarifa zaidi ya kufanya vizuri ili kuzima kelele za vicheko vyao.

#DaimaMbeleNyumaMwiko

NB: NAONA UTO BAADHI AKILI ZIMEANZA KUWARUDI.
 
Tatizo mnasajili vizuri halafu mnawasaidia wachezaji wenu kwa kudhoofisha wapinzani.

Sasa mtajuaje uwezo halisi wa wachezaji wenu?Mnawanyima upinzani wa kweli unadhani watakua ama wanaweza kujifunzaje mbinu mpya?

Mmewekeza kwenye propaganda ya unbeaten kwa kuwa mna mashabiki oya oya basi watawaelewa tu.
 
Tatizo mnasajili vizuri halafu mnawasaidia wachezaji wenu kwa kudhoofisha wapinzani.
Sasa mtajuaje uwezo halisi wa wachezaji wenu?Mnawanyima upinzani wa kweli unadhani watakua ama wanaweza kujifunzaje mbinu mpya?

Mmewekeza kwenye propaganda ya unbeaten kwa kuwa mna mashabiki oya oya basi watawaelewa tu.
Mkuu umenena vyema.. Mda huu Simba SC inawaza ni giant gani atapangiwa katika makundi ya CAFCL, Ali Kamwe na vijana wake wako busy wakitafuta ni nani wampigie makofi katika mecho ijayo ya NBCPL ili kuadhimisha unbeaten yao.

NB: Japo Uto wana upuuzi mwingi, ila Simba SC kamwe hatutachoka kuwabeba kimataifa.
 
Sisi watunisia wa mtaa wa msimbazi tunaruhusiwa kucoment
emoji1787.png
emoji1787.png
emoji1787.png
Mkuu Club Africa in ni ndugu zetu, kuanzia jezi zao mpaka philosophy ya mpira wao, mana nao Kocha wao anapenda kutembeza boli kama Mgunda. Hivyo lazima tucomment
 
Huyu Kocha ni mjanja mjanja sana. Kwanini nasema hivyo?

1. Kama Uto Jana wangeshinda, kauli zao zingekua Hivi... "Huyu Nabi ni Profesa haswa.. Pamoja na mda mchache aliokua nao kwa ajili ya kujiandaa na mechi hiii kashinda.. Kiukweli aliemleta Nabi peponi moja kwa moja".

2. Kwakua Jana uto matokeo yamekuja tofauti na walivyotegemea, Nabi kapata sababu kua hakua na mda Wa kutosha kujiandaa na mechi.

NB: Olo ini Olo, wamfukuze au wasimfukuze Nabi, Tunachojua sisi Uto Kimataifa kashaumaliza Mwendo.
 
Back
Top Bottom