Hassan Dilunga aenda Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu

Hassan Dilunga aenda Afrika Kusini kwa ajili ya matibabu

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Kiungo mshambuliaji wa timu ya Simba, Hassan Dilunga ameondoka Nchini Tanzania kuelekea Afrika Kusini kwa ajili ya kupata matibabu ya majeraha yanayomkabili kwa muda mrefu.

Kwa mujibu wa taarifa kutoka katika Klabu ya Simba, imeeleza kuwa nyota huyo ambaye aliwahi kuitumikia Yanga, ameondoka leo Aprili 14, 2022 akielekea Afrika Kusini.

Dilunga maarufu ''HD'' amekuwa nje ya dimba kuwa muda mrefu akiuguza jeraha ambalo limemfanya asiitumikie Simba kwa muda mrefu.

Nyota huyo alijiunga na Simba mwaka 2018 na kuwa sehemu ya mafanikio ya mataji mbalimbali waliyoyatwaa Simba kwa misimu miwili mfululizo.



Source: East Africa TV
 
God ablecc HD arudi dimbaniii ,cjui nani kampiga misumariii pale cmbaaa....
 
Back
Top Bottom