Kiungo mahiri wa Simba ambaye alikuwa nje kwa muda mrefu kutokana na majeraha, Hassan Dilunga HD ataonekana kule visiwani Zanzibar akipambania namba kwenye michuano ya kombe la Mapinduzi Zanzibar.
Dilunga, ambaye mashabiki tunamkumbuka mno kwa mchango mkubwa ndani ya Simba anatarajia kurudi tena kwnye dirisha dogo endapo viongozi wataridhika na uwezo wake, ila mm nawashauri viongozi wa Simba, mchezaji mzuri huwezi kumpima kwa mechi 2 au 3, Dilunga uwezo wake haihitaji majaribio.