Ukana Shilungo
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 3,041
- 2,422
Heshima kwenu.
Huyu jamaa yupo kituo cha polisi toka 10:30 jioni .
Kosa au maelezo anayochukuliwa ni la kutotimiza ahadi ya Bajaji kwa kwa Mzee Kambanga, ambaye alipata ajali na kukatwa Mguu 2015 akiwa anashangilia ushindi wa masala 2015.
Mzee Kambanga alipata ajali wakati akiwa anashangilia kushinda kwa ubunge mwaka 2015, baada ya ajali mzee Kambanga alikatwa mguu.
Ahadi hiyo ya massala kushindwa kumnunulia bajaji haikutekelezwa na ndio imekuwa msingi wa harassment yake in relation ya yeye kuhamia ACT WAZALENDO
Wanafanya delay tact, mwanzo kakataliwa kuchukua fomu ya ACT wazalendo.
Swali ahadi ya 2015 mpaka leo ndio anashikiliwa BANGO. Huu ndio mwanzo petty politics za BONGO.
Ndimi UKANA SHILUNGO.
YTK pub NACHINGWEA. 😅😅😅😂😂
Huyu jamaa yupo kituo cha polisi toka 10:30 jioni .
Kosa au maelezo anayochukuliwa ni la kutotimiza ahadi ya Bajaji kwa kwa Mzee Kambanga, ambaye alipata ajali na kukatwa Mguu 2015 akiwa anashangilia ushindi wa masala 2015.
Mzee Kambanga alipata ajali wakati akiwa anashangilia kushinda kwa ubunge mwaka 2015, baada ya ajali mzee Kambanga alikatwa mguu.
Ahadi hiyo ya massala kushindwa kumnunulia bajaji haikutekelezwa na ndio imekuwa msingi wa harassment yake in relation ya yeye kuhamia ACT WAZALENDO
Wanafanya delay tact, mwanzo kakataliwa kuchukua fomu ya ACT wazalendo.
Swali ahadi ya 2015 mpaka leo ndio anashikiliwa BANGO. Huu ndio mwanzo petty politics za BONGO.
Ndimi UKANA SHILUNGO.
YTK pub NACHINGWEA. 😅😅😅😂😂