Tetesi: Hassan Elias Masala aliyeshinda kura za maoni na kukatwa Nachingwea mikononi Mwa Polisi

Tetesi: Hassan Elias Masala aliyeshinda kura za maoni na kukatwa Nachingwea mikononi Mwa Polisi

Heshima kwenu.

Huyu jamaa yupo kituo cha polisi toka 10:30 jioni .

Kosa au maelezo anayochukuliwa ni la la kutotimiza ahahadi ya Bajaji kwa kwa Mzee Chitanda ,ambaye alipata ajali na kukatwa Mguu 2015 akiwa anashangilia ushindi wa masala 2015.

Mzee Chitanda alipata ajali wakati akiwa anashangilia kushinda kwa ubunge mwaka 2015,baada ya ajali mzee Chitanda alikatwa mguu.

Ahahadi hiyo ya massala kushindwa kumnunulia bajaji haikutekelezwa na ndio imekuwa msingi wa harassment yake in relation ya yeye kuhamia ACT WAZALENDO

Wanafanya delay tact, mwanzo kakataliwa kuchukua fomu ya ACT wazalendo.


Swali ahadi ya 2015 mpaka leo ndio anashikiliwa BANGO. Huu ndio mwanzo petty politics za BONGO.

Ndimi UKANA SHILUNGO.

YTK pub NACHINGWEA. 😅😅😅😂😂
Mkuu

Hii ishakua police state.....

Mwanzoni wakati hizi taasisi moja baada ya nyingine zilipokua zinashughulikiwa kuna wapumbavu walikua wakenua mimeno sana...

Sasa kuja kustuka kila taasisi kumbe zinaendeshwa na mtu mmoja tu dunia hii.....

Tutapata shida sana....

Kama rule of law haifatwi ni hatari sana....wanaweza weaponize anything to silence anybody at any time...

Utasema ooh serikali inafata rule of law ndio maana polisi imemshika muhusika,ni kesi ya madai,lakini kwavile kuna mtu yupo juu ya sheria atapiga simu kwa hakimu au jaji anyimwe dhamana..

Worse atapiga simu mtu apewe kesi ya uhujumu uchumi....yaani judiciary imekua weaponized na mwenye enzi kuu na madaraka yote hivyo rule of law goes outta window....hakuna wa kuuliza na ku-challenge anything...

Ni maajabu kuna Watanzania wanaona haya wanafurahia mwenyekiti wao "kasimamia".....

Ni jamhuri ya vichaa haifuati sheria yeyote....simu moja tu au text msg au jina likitajwa la mtu basi vitabu vyote vya sheria za nchi na uhuru wa majaji na mahakimu kufanya maamuzi kufuata codes and ethics goes under water..

Hatuna nchi hapo....hakuna mtu anakuja kuwekeza kwenye jungle republic kama hii ambayo rule of law hakuna!

Very very very sad!
 
Heshima kwenu.

Huyu jamaa yupo kituo cha polisi toka 10:30 jioni .

Kosa au maelezo anayochukuliwa ni la la kutotimiza ahahadi ya Bajaji kwa kwa Mzee Chitanda ,ambaye alipata ajali na kukatwa Mguu 2015 akiwa anashangilia ushindi wa masala 2015.

Mzee Chitanda alipata ajali wakati akiwa anashangilia kushinda kwa ubunge mwaka 2015,baada ya ajali mzee Chitanda alikatwa mguu.

Ahahadi hiyo ya massala kushindwa kumnunulia bajaji haikutekelezwa na ndio imekuwa msingi wa harassment yake in relation ya yeye kuhamia ACT WAZALENDO

Wanafanya delay tact, mwanzo kakataliwa kuchukua fomu ya ACT wazalendo.


Swali ahadi ya 2015 mpaka leo ndio anashikiliwa BANGO. Huu ndio mwanzo petty politics za BONGO.

Ndimi UKANA SHILUNGO.

YTK pub NACHINGWEA. [emoji28][emoji28][emoji28][emoji23][emoji23]
Mkuu tuonane badae hapo zurich pub tupige vyombo anyway ndo ivo wanambania jamaa
 
Mkuu

Hii ishakua police state.....

Mwanzoni wakati hizi taasisi moja baada ya nyingine zilipokua zinashughulikiwa kuna wapumbavu walikua wakenua mimeno sana...

Sasa kuja kustuka kila taasisi kumbe zinaendeshwa na mtu mmoja tu dunia hii.....

Tutapata shida sana....

Kama rule of law haifatwi ni hatari sana....wanaweza weaponize anything to silence anybody at any time...

Utasema ooh serikali inafata rule of law ndio maana polisi imemshika muhusika,ni kesi ya madai,lakini kwavile kuna mtu yupo juu ya sheria atapiga simu kwa hakimu au jaji anyimwe dhamana..

Worse atapiga simu mtu apewe kesi ya uhujumu uchumi....yaani judiciary imekua weaponized na mwenye enzi kuu na madaraka yote hivyo rule of law goes outta window....hakuna wa kuuliza na ku-challenge anything...

Ni maajabu kuna Watanzania wanaona haya wanafurahia mwenyekiti wao "kasimamia".....

Ni jamhuri ya vichaa haifuati sheria yeyote....simu moja tu au text msg au jina likitajwa la mtu basi vitabu vyote vya sheria za nchi na uhuru wa majaji na mahakimu kufanya maamuzi kufuata codes and ethics goes under water..

Hatuna nchi hapo....hakuna mtu anakuja kuwekeza kwenye jungle republic kama hii ambayo rule of law hakuna!

Very very very sad!
Aksante sana mkuu kwa logical and intensive response kwa hii thread.Naona jamaa wanaishiwa punzi
 
huyu mwamba tunafahamiana vizuri tu tangu akiwa mwalimu wa primary,atulie aache papara ana safari ndefu sana ya kisiasa.

Na Shahada yake ya kwanza ya Elimu aliipata pale DUCE mwaka 2008! Na alifanikiwa pia kuwa Rais wa Serikali ya Wananfunzi wa hicho chuo cha ualimu kwa miaka hiyo.

Ghafla bin vuu, baada ya kumaliza chuo, tunashangaa kateuliwa na JK kuwa DC wa Kilombero, na baadae huko Kigoma kabla ya kwenda kumgaragaza Waziri wa JK wa wakati huo Mathias Chikawe kwenye mchakato wa kura za maoni na mwisho wa siku kujishindia ubunge.

Cha msingi tu awe makini. Iwapo ataukosa huo Ubunge kupitia hicho chama chake kipya, basi ajiandae kunyanyapaliwa na magufuli. Maana mzee ana fitina na vitisho mpaka basi dhidi ya wale wote wanaompinga.
 
Heshima kwenu.

Huyu jamaa yupo kituo cha polisi toka 10:30 jioni .

Kosa au maelezo anayochukuliwa ni la kutotimiza ahadi ya Bajaji kwa kwa Mzee Chitanda, ambaye alipata ajali na kukatwa Mguu 2015 akiwa anashangilia ushindi wa masala 2015.

Mzee Chitanda alipata ajali wakati akiwa anashangilia kushinda kwa ubunge mwaka 2015, baada ya ajali mzee Chitanda alikatwa mguu.

Ahadi hiyo ya massala kushindwa kumnunulia bajaji haikutekelezwa na ndio imekuwa msingi wa harassment yake in relation ya yeye kuhamia ACT WAZALENDO

Wanafanya delay tact, mwanzo kakataliwa kuchukua fomu ya ACT wazalendo.

Swali ahadi ya 2015 mpaka leo ndio anashikiliwa BANGO. Huu ndio mwanzo petty politics za BONGO.

Ndimi UKANA SHILUNGO.

YTK pub NACHINGWEA. 😅😅😅😂😂
SASA HILI NI SHAURI LA MADAI UNAMUWEKAJE MTU MAHABUSU KAMA NI KWELI BASI NZI WA KIJANI NI WAOGA ZAIDI YA KUNGURU
 
Na Shahada yake ya kwanza ya Elimu aliipata pale DUCE mwaka 2008! Na alifanikiwa pia kuwa Rais wa Serikali ya Wananfunzi wa hicho chuo cha ualimu kwa miaka hiyo.

Ghafla bin vuu, baada ya kumaliza chuo, tunashangaa kateuliwa na JK kuwa DC wa Kilombero, na baadae huko Kigoma kabla ya kwenda kumgaragaza Waziri wa JK wa wakati huo Mathias Chikawe kwenye mchakato wa kura za maoni na mwisho wa siku kujishindia ubunge.

Cha msingi tu awe makini. Iwapo ataukosa huo Ubunge kupitia hicho chama chake kipya, basi ajiandae kunyanyapaliwa na magufuli. Maana mzee ana fitina na vitisho mpaka basi dhidi ya wale wote wanaompinga.
Masala atulie,ni kijana mzuri Sana katika suala zima la uongozi,nilikuwa naye pia katika chuo cha diplomasia kurasini,atulie asije akaharibikiwa pakubwa,akumbuke kuwa katika siasa uvumilivu unahitajika sana
 
Katika jimbo ambalo CCM wanalipoteza mapema ni nachingwea
Huyu dr Moto amejijenga sana hata uchaguzi wa 2015 walimpokonya ushindi.
 
Habari yako haiko balanced

au kwa sababu unatumia fake ID

Andika uhalisia.. otherwise itoshe kusema umepotosha... unalichafua jeshi la polisi kwa kujificha JF

Kama unajiamini weka uhalisia wako

tusitumie majukwaa haya kuandika uongo na kuichafua serikali.. andika taarifa zilizo sahihi
 
Screenshot_20200823-200039_Facebook.jpg
Screenshot_20200823-200039_Facebook.jpg
 
Back
Top Bottom