GuDume
JF-Expert Member
- Jan 18, 2015
- 6,651
- 14,337
Inasikitisha sana. Wachezaji wa team zetu wengi hushindwa kujitambua na matokeo yake wanaweka mapenzi katika hizi team na baadaye wanakuja umia wanapokutana na changamoto za kimaisha.
Unapohama Yanga kwenda Simba ufaham kuwa unabadilisha ofisi ya kazi kama ambavyo unapohama Simba kwenda Yanga inavyokuwa. Sasa wachezaji mnapoweka Utoto na Mapenzi mbele mnajiharibia hata kazi zenu binafsi. Yanga uliipenda si jambo baya lakini ungeweka weledi mbele zaidi.
Huwezi ukaambiwa tu subiri tutakupa feedback bila hata kupeana deadline ya feedback. Matokeo yake masaa 9 kabla ya Dirisha kufungwa Unaambiwa hawataweza kukuchukua klabu haina pesa. Huu ni uhuni mkubwa sana kumfanyia mchezaji.