tupo pamoja mwamba tupe updatesRound ya pili imeisha, Mwakinyo anapiga body punch sana ila sioni jabs
Endelea na updates tupo pamojaRound ya pili imeisha, Mwakinyo anapiga body punch sana ila sioni jabs
Round ya 6 inaingia, Mwakinyo awe makini naona hajilindi vizuriEndelea na updates tupo pamoja
Yes, ameshashindwa kumKOmwakinyo knockout haziwezi ngumi nyepesi
Yaani hizi ratiba za kiboya sana. Wakati mapambano ya utsngulizi yanaendelea, wahusika wanakuwa wapi? Watu wanashinda kwa sababu ya uchovu na usingizi