dvj nasmiletz
JF-Expert Member
- Jul 23, 2018
- 2,079
- 2,254
Vp huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu bar ulikuwa unakula nyama choma na bia gani?mbona mi niliondoka saa tatu usiku bar na walikua wameshapigana kina mwakinyo... ‘mmwakinyo alivaa bukta nyekundu
silioni pambano lakini ukiwa nyumbani kuna advantage fulani ya koYes, ameshashindwa kumKO
Ndio maana umeona pambano na washamaliza. Kwa hiyo mshindi nani wkt unachek?serengeti
nimekunywa saba
Saafi umechangia pato la Taifaserengeti
nimekunywa saba
Ndio maana umeona pambano na washamaliza. Kwa hiyo mshindi nani wkt unachek?
mbona mi niliondoka saa tatu usiku bar na walikua wameshapigana kina mwakinyo... ‘mmwakinyo alivaa bukta nyekundu
Mkanda unauzwa buku pale kariakoo sasa inakuaje mwakinyo hakose mkanda?Angalau Mwakinyo kapata 'kamkanda' japo sijui kama kanatambulika duniani[emoji1]
Mi sijui, sijachek. Kavaa nyeupe, mpinzani wake njanoalivaa bukta nyekundu
si ndio mwakinyo