Hassan Mwakinyo ataingia ulingoni Septemba 3, akizichapa na bondia mkali wa Uingireza mwenye mikanda ya WBO

Huyu mtoto Mwakinyo ana laana ya kuwatukana viongozi wa ngumi Tanzania.

Refer kauli iliyowahi kutolewa na Raisi wa tasnia hiyo wakati huo marehemu Yassin akimtaka aombe radhi akakataa,mafanikio kwake yatakuwa finyu sana.
Sawa huyo Mwakinyo ana laana hiyo, hao ambao hawana laana yoyote wana mafanikio gani kwenye huo mchezo??
 
Mwakinyo pole sana bro,
Endelea kupambana, hayo ni matokeo tu ingawa si mazuri lakini one day yes🦾
 
Una la kusema?
Viatu vinambana,na bado kwenye Instagram yake anatoa maelezo uku akiwa kavaa viatu hivyo hivyo.
Ngumi nzito za mzungu mzee.
Unaonekana ni mwanaume mwenye gubu sana..mwanamke wako utachapiwa sana kila ukisusa susa hovyo wewe...endelea
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…