Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Aisee tangu nilipoanza kuangalia mchezo wa boxing enzi zile za akina marehemu Stanley Mabesi, Charles Libondo Mawe, Bakary Mambeya, Magoma Shaaban, huku kwenye ridhaa enzi za akina Makoye Isangura, Hassan Matumla, Haji Matumla, Mzonge Rashid nk sijaona bondia anayejiamini na kazi yake kama huyu mdigo mwenzangu Hassan Mwakinyo.
Leo wakati anapima uzito, Mwakinyo hana presha yoyote, unamuona kabisa haogopi kupanda ulingoni licha ya kuwa yuko ugenini, hana kutetemeka na yuko tayari kupiga punch kwa mzungu.
Nina uhakika 90% Mwakinyo anashinda pambano hilo.
Leo wakati anapima uzito, Mwakinyo hana presha yoyote, unamuona kabisa haogopi kupanda ulingoni licha ya kuwa yuko ugenini, hana kutetemeka na yuko tayari kupiga punch kwa mzungu.
Nina uhakika 90% Mwakinyo anashinda pambano hilo.