Pearce
JF-Expert Member
- Dec 15, 2018
- 667
- 1,582
Kiongozi mkuu wa Kikundi/chama cha Kigaidi cha Hezbollah, yupo salama na mabikra 72.
Ana himiza baada ya kugundulika njia rahisi ya kwenda kupokea hao mabikra ni kuwachokoza watoto wa Yakobo
Kwahiyo Dear Keyboard warrior wa JF kuanzia kwq bwana Kimboy, maralia 2 na bwana utamu . Na wengine wengi wasiishie tu kwenye keyboard hapa JF milango ipo wazi na wao waende zao egypt kuna njia za panya za kuingia Gaza, Syria, Iran, Yemen magharibi na iraq na kusini mwa Lebanon. Waachane na porojo Wanazopata kuhusu madege na intelejensia ya Wayahudi, hao hawana lolote ila ni watoaji wazuri tu wa tiketi ya kupokea mabikra tu.
Ana himiza baada ya kugundulika njia rahisi ya kwenda kupokea hao mabikra ni kuwachokoza watoto wa Yakobo
Kwahiyo Dear Keyboard warrior wa JF kuanzia kwq bwana Kimboy, maralia 2 na bwana utamu . Na wengine wengi wasiishie tu kwenye keyboard hapa JF milango ipo wazi na wao waende zao egypt kuna njia za panya za kuingia Gaza, Syria, Iran, Yemen magharibi na iraq na kusini mwa Lebanon. Waachane na porojo Wanazopata kuhusu madege na intelejensia ya Wayahudi, hao hawana lolote ila ni watoaji wazuri tu wa tiketi ya kupokea mabikra tu.