Hassan Ngoma wa Clouds tv 360 ametupa jiwe gizani

Huyo jamaa kujipachika jina zisizo na msingi ni zwazwa huyu mange apambane na hali yake na familia yake huko sio kila kitu yeye anajua mbona yake na baba yake hayaweki hadharani ?
 
Mkuu muajiri wangu anakaribia kuniachisha kazi,naomba mawasiliano ya Mange anisaidie nisifukuzwe kama Hassan Ngoma.
 
Duuuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…