Mwezi May aliteuliwa kwa kazi nyingine bila shaka alikuwa hajaripoti. Akateuliwa tena ndani ya week mbili tatu hiviSijaelewa............
Unasema huyo Milton Lupa, alikuwa akienda Kwenye kituo kipya Cha uhamisho, ambacho ni VETA
Sasa sielewi, je kulikuwa na teuzi 2 mpya, hiyo ya VETA na hiyo ya Ikulu ya Mkurugenzi wa Kilolo??😎
Kwa statement ya hasunga, hiyo ndio maana yake.Sijaelewa............
Unasema huyo Milton Lupa, alikuwa akienda Kwenye kituo kipya Cha uhamisho, ambacho ni VETA
Sasa sielewi, je kulikuwa na teuzi 2 mpya, hiyo ya VETA na hiyo ya Ikulu ya Mkurugenzi wa Kilolo??😎
Kabla haujatoka msalani hakikisha umetawadha vizuri siyo nzi wakufate usingizie chademaTruth, CHADOMO WAMEGEUZA NDIYO HOJA YAO KUBWA, PUMBAVU SANA HAWA WATU.