Hahahaa basi hii tekniki tunaitumia wengi wetu kumbe maana juzi kati nilichelewa kurudi kidogo (yaani saa mbili natakiwa home kitambo tu) basi zikaanza kutumwa sms za maudhi na mimi nikajibu hivyo hivyo, baadae nikakaa kimya, kufika naona mmh hapa hamna amani kabisa hapa, basi nikapitiliza hadi chumbani, nikavua nguo nikajifanya nataka niingie kuoga (kuna choo chumbani) nikajifunga taulo mara nikamuita kwa sauti , hajaitikia wala hajaja nikatoka na taulo hadi Jikoni nikamwambia "yaani mi naumwa nimeanguka chooni huko nakuita halafu umekaa kimya" halafu nikaondoka zangu nikarudi rum mara huyoo anakuja, oooh sikuskia, jamani, tatizo nini? blah blah kibao, moyoni nacheka tu, pale pale nikajilza magotini alikua amekaa kitandani...nikautumia huo muda kuganga yajayo.......................