Hata akinunaje ataongea tu...


Haaa Ndoa bhanaa usani juu ya usaniii afu watu wanasema hajui kuigiza?!!..ebu kula haka ka azonto

 
Last edited by a moderator:
Nimefurahishwa sana na michango yenu, mi kuna siku tulikuwa na mgogoro mkali, mume wangu akawa anadrive huku tunabishana, hasira zilimpata ghafla akasimamisha gari njiani, nikahisi kabisa kwamba siku hiyo nachapwa, nafikiri ni Mungu, Lengo halikutimia, nina miaka saba ya ndoa na kids wawili
 

Haaa, Pole mlimalizanaje?
 
Ukifika, mwite chumbani umuoneshe panapouma wapi ili akutane na dushe lililokasirika. LOL
Wewe Kaunga unavituko dada yangu. dushe lililokasirika silitamdhuru mwenzio hiyo michomo si itakuwa balaa hadi michubuko huko ndani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…