Hata diploma nao?

Hata diploma nao?

chibiliti

Member
Joined
Aug 1, 2013
Posts
15
Reaction score
1
Habar wakuu hivi hili swala la second round la tcu ni kwa form six applicants tu au hata wale walio apply kama diploma holder inawahusu naomba kueleweshwa.
 
Habar wakuu hivi hili swala la second round la tcu ni kwa form six applicants tu au hata wale walio apply kama diploma holder inawahusu naomba kueleweshwa.

Mkuu acha kulala hili ni jambo la watu wote, diploma wao pia wametolewa kupitia tovuti ya nacte na wao pia wanatakiwa kujaza kozi mpya ingawa wao wanaweza kujaza kozi tano upya. Kwa msaada zaidi fungua e-mail yako (sio profile yako) ndio utapata ufafanuzi. Kama jina lako lipo hapa chukua hatua.

Diploma not selected
 
Mkuu acha kulala hili ni jambo la watu wote, diploma wao pia wametolewa kupitia tovuti ya nacte na wao pia wanatakiwa kujaza kozi mpya ingawa wao wanaweza kujaza kozi tano upya. Kwa msaada zaidi fungua e-mail yako (sio profile yako) ndio utapata ufafanuzi. Kama jina lako lipo hapa chukua hatua.

Diploma not selected

shukran mkuu kwa kuniamsha.
 
Back
Top Bottom