Hata JK aomba kura kwa staili yake

Hata JK aomba kura kwa staili yake

Heee, unataka watu wote tuone kama unavyoona wewe? Maajabu.........

huyo kiwet........ kikwete anajipendekeza tu hana lolote, si hatutaki kufarijiwa tumuone anajkali sana watu wakati ni otherwise.






:confused2:
 
Jamani hivi hamjui???huyo alianza kusikia kizunguzungu!!!hakajifanya anakaa kwa mlemavu yeye akae kwenye vumbi????:confused2:
 
09_10_xa137s.jpg




MWAKA WENU HUU WATANZANIA...
 
mpaka uchaguzi upite mbona tutacheka sana!!!!????
 
Mbona kama wapenzi hawa? We tazama tu mikono yao!




Huyu jamaa anatakiwa acheze picha na kina Kanumba!!! Hii ni Kanumba style......:A S 13:hadanganyiki mtu hapa wacha kutusanii weweeee..
 
Huyo mama mwenyewe anaona raaaaaaaaaaaaaaaaaha. utamu. Hapo wangepewa faragha tu topic ingebadilika.
 
Back
Top Bottom