Heee, unataka watu wote tuone kama unavyoona wewe? Maajabu.........
huyo kiwet........ kikwete anajipendekeza tu hana lolote, si hatutaki kufarijiwa tumuone anajkali sana watu wakati ni otherwise.
Mbona kama wapenzi hawa? We tazama tu mikono yao!
Akiwa anapanda miti anatandikiwa mkeka/jamvi ila kwa kuwa ni kura na nisuala la kuuza sura... kukaa chni siyo tatizo