johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Chukua tu Ruzuku ya Chadema kwa miaka 5 ya Rais Magufuli na michango ya Wabunge kwa Awamu hiyo kisha tembelea Jengo la Makao makuu ya Chadema Ufipa St
Kisha chukua Bajeti zote za Awamu ya 5 zilizopitishwa na bunge kisha tembelea Miundombinu yote na miradi iliyotekelezwa kwa Kipindi hicho
Ni hayo tu.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Kisha chukua Bajeti zote za Awamu ya 5 zilizopitishwa na bunge kisha tembelea Miundombinu yote na miradi iliyotekelezwa kwa Kipindi hicho
Ni hayo tu.
Mungu wa mbinguni awabariki nyote