UmkhontoweSizwe
Platinum Member
- Dec 19, 2008
- 9,454
- 8,894
Kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu kiko wapi?Kwahiyo walioiba majengo ya serikali na sasa bunge limeipangia bajeti CCM ndio kwako matajiri!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu kiko wapi?Kwahiyo walioiba majengo ya serikali na sasa bunge limeipangia bajeti CCM ndio kwako matajiri!
Bwashee mbona povu kama la sabuni? Hivyo tu umesusa kabisa?yaani kuanzia Leo sisomi makala zako wewe ni mnafiki saana.
Hicho kiwanja ungewapa wewe? Hiyo ofisi wakiingia wanakamatwa! Mungu amuongezee miaka jiwe.Kiwanja cha kujenga ofisi ya makao makuu kiko wapi?
Na wabunge wa chadema walibarikiMikopo inapita Bungeni na kuingizwa kwenye Bajeti
Posho imeshatoka?Chukua tu Ruzuku ya Chadema kwa miaka 5 ya Rais Magufuli na michango ya Wabunge kwa Awamu hiyo kisha tembelea Jengo la Makao makuu ya Chadema Ufipa st
Kisha chukua Bajeti zote za Awamu ya 5 zilizopitishwa na bunge kisha tembelea Miundombinu yote na miradi iliyotekelezwa kwa Kipindi hicho
Ni hayo tu,
Mungu wa mbinguni awabariki nyote
Viongozi wa CCM ni maskihni? mbona wanachama 95% ni mafukara?Chadema wanasema maendeleo sio viti.lakini viongozi wa juu wamejilimbikizia vitu yaani mali.kwa kwa pesa za ruzuku na michango ya mwanachama
Halafu wanachadema kama wamerogwa utakuta wanashangilia kama wehu kuwa ndio maendeleo sio vitu!!