johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Chadema ina Wabunge 20CHADEMA ina mbunge mmoja mbona samia unalalamika sana
🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮🚮Chadema ina Wabunge 20
Hahaha....... linganisha tu!Wewe nenda uoshe magari huko Lumumba hakuna unachofahamu. Tuambie ni lini ccm ilijenga ofisi katika nchi hii. Bugus kabisa.
Hata kiwanja tu hawakuweza kununua!Chukua tu Ruzuku ya Chadema kwa miaka 5 ya Rais Magufuli na michango ya Wabunge kwa Awamu hiyo kisha tembelea Jengo la Makao makuu ya Chadema Ufipa st
Ufipa st ni bure kabisa!Hata kiwanja tu hawakuweza kununua!
Halafu eti wanajiita chama cha demokrasia na 'maendeleo'! Maendeleo gani?
19 ni wako na Mzee wa gereji Jo🤔na mmoja asiyejulikana🏃🏽♀️Chadema ina Wabunge 20
Hata kiwanja tu hawakuweza kununua!
Halafu eti wanajiita chama cha demokrasia na 'maendeleo'! Maendeleo gani?jibu hoja ya mdau CCM wamejenga ofisi gani??mbona unajitoa akili na kuona una akili mfu watu tumepigika hivi unaleta uharo.ongea vitu vya msingi Sio utumbo wa Kuku.
CCM ina kila kituNilijua utakuja na mchanganuo wa ruzuku kwa vyama vyote ikiwemo CCM na utwambie wamefanya nini??unajua kazi ya kuendesha chama cha upinzani tz wewe au unaongea tu,jaribu na wewe uone.yaani kuanzia Leo sisomi makala zako wewe ni mnafiki saana.
Mikopo inapita Bungeni na kuingizwa kwenye BajetiOngezea na deni la Taifa.....!!
Kwahiyo walioiba majengo ya serikali na sasa bunge limeipangia bajeti CCM ndio kwako matajiri!Hata kiwanja tu hawakuweza kununua!
Halafu eti wanajiita chama cha demokrasia na 'maendeleo'! Maendeleo gani?
Take your party's cars to the car wash and do the drudging work to make both ends meet instead of spending the whole day peddling lies online.Hahaha....... linganisha tu!
Ngumu kumesa!Take your party's cars to the car wash and do the drudging work to make both ends meet instead of spending the whole day peddling lies online.