Hata kama alipiga dili linganisha Chadema HQ (ruzuku) vs Miundombinu ya Nchi (bajeti)

Chadema wanasema maendeleo sio vitu.lakini viongozi wa juu wamejilimbikizia vitu yaani mali.kwa kwa pesa za ruzuku na michango ya mwanachama

Halafu wanachadema kama wamerogwa utakuta wanashangilia kama wehu kuwa ndio maendeleo sio vitu!!
 
Posho imeshatoka?
 
Chadema wanasema maendeleo sio viti.lakini viongozi wa juu wamejilimbikizia vitu yaani mali.kwa kwa pesa za ruzuku na michango ya mwanachama

Halafu wanachadema kama wamerogwa utakuta wanashangilia kama wehu kuwa ndio maendeleo sio vitu!!
Viongozi wa CCM ni maskihni? mbona wanachama 95% ni mafukara?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…