Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Mzalendo no moja kuwahi kutokea nchi hii ni Mwalimu Jkn full stop!!Mnakomaa kumalizia Sgr, daraja la wami, daraja la Busisi na miradi kibao aliyoiasisi hayati JPM.
Kwa nini rais wa sasa asilete miradi mingine ya kuweza kisisimua uchumi?
Ina maana hii miradi aliyoianzisha hayati JPM ikiisha ndio basi tena?
Acha chukiMzalendo no moja kuwahi kutokea nchi hii ni Mwalimu Jkn full stop!!
Twende kwa reality sina chuki pia mwendazake mpaka anaondoka sikupungukiwa wala uwepo wake haukuniathiri.Acha chuki
Twende kwa reality sina chuki pia mwendazake mpaka anaondoka sikupungukiwa wala uwepo wake haukuniathiri.
Sgr, JNHP +++++Twende kwa reality sina chuki pia mwendazake mpaka anaondoka sikupungukiwa wala uwepo wake haukuniathiri.
Alikuwa na laana za Watanzania.Dikteta kapotelea udongoni
Kwasababu kutabakia viporo au huwezi kufikiriaMnakomaa kumalizia Sgr, daraja la wami, daraja la Busisi na miradi kibao aliyoiasisi hayati JPM.
Kwa nini rais wa sasa asilete miradi mingine ya kuweza kisisimua uchumi?
Ina maana hii miradi aliyoianzisha hayati JPM ikiisha ndio basi tena?
Kinga mdomo kiroho safi,nimalize haja.Shithole yako kubwa sana
Yaani huanzishe miradi mingine ndio afya hiyooo.hii yenyewe tu tunajutaMnakomaa kumalizia Sgr, daraja la wami, daraja la Busisi na miradi kibao aliyoiasisi hayati JPM.
Kwa nini rais wa sasa asilete miradi mingine ya kuweza kisisimua uchumi?
Ina maana hii miradi aliyoianzisha hayati JPM ikiisha ndio basi tena?
24 years akiwa madarakan hakuwah kujenga shule hata moja kilwa . kilwa kulikuwa na tatizo gani kwa mzalendo mpaka asijenge hata shule moja tu ndani ya utawala wakeMzalendo no moja kuwahi kutokea nchi hii ni Mwalimu Jkn full stop!!
Umeyaona au umeambiwa?Yule Jinamizi kaacha madeni ya kutisha mzee.
Kama issue ni kujenga bas nchi yetu marais wote ni wazalendo!!24 years akiwa madarakan hakuwah kujenga shule hata moja kilwa . kilwa kulikuwa na tatizo gani kwa mzalendo mpaka asijenge hata shule moja tu ndani ya utawala wake
Mkuu, Rais SSH na hayati JPM wote wawili kwa pamoja waliinadi ilani moja tu ya uchaguzi. Mmoja alikuwa ni mgombea wa nafasi ya urais kwa tiketi ya CCM, huku mwingine akiwa ni makamu wake.Mnakomaa kumalizia Sgr, daraja la Wami, daraja la Busisi na miradi kibao aliyoiasisi hayati JPM.
Kwanini rais wa sasa asilete miradi mingine ya kuweza kisisimua uchumi?
Ina maana hii miradi aliyoianzisha hayati JPM ikiisha ndio basi tena?
kwani inshu kujenga au inshu watu walitakiwa kupata elimu hilo swala chief unalichukulia easy tuKama issue ni kujenga bas nchi yetu marais wote ni wazalendo!!
Sijakupata vizuri labda,kwani huyu mama wakati hiyo miradi ilipoanzishwa alikuwa wapi,si alikuwa ni mmoja wa viongozi wa juu kabisa,sasa ulitaka aiache hii aanze na miradi mingine mipya wakati walipoianzisha na yeye akiwa mmoja wapo bado haijaisha,labda ungesema mkisha maliza hii miradi iliyoanzishwa awamu ya tano,then muanzishe mingine...Mnakomaa kumalizia Sgr, daraja la Wami, daraja la Busisi na miradi kibao aliyoiasisi hayati JPM.
Kwanini rais wa sasa asilete miradi mingine ya kuweza kisisimua uchumi?
Ina maana hii miradi aliyoianzisha hayati JPM ikiisha ndio basi tena?