NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,925
Ukisikia sifa zinaua ndio huku, Hapa kwa mporomoko huu wa jeneza sijui kama waliodondokewa na jeneza walipona?
Humo kwenye jeneza mwili wa marehemu ushavunjika vunjika kwajili ya hizi sifa.
Utasikia kisingizio ni jeuri ya pesa lakini ukifatilia unakuta pesa zenyewe ni mshahara wa kuajiriwa, hapo inabidi ushangae tu maana kuna makabila yana wafanyabiashara wakubwa ambao wanaingiza faida maradufu ya huo mshahara kila siku lakini kwenye misiba huwezi kuta hivi vitu.
Msiba ni maomboleza, huzuni, inafaa ichukuliwe hivyo na zaidi ni kuwafariji wahusika wa moja kwa moja, kuleta hizi mbwembwe na kusababisha taharuki kama hii ya kuanguka kwa jeneza ni kuzidi kuleta simanzi kwa wafiwa, kumkosea heshima marehemu, kuongeza gharama za msiba na hata kusababisha vifo vya ziada.
Humo kwenye jeneza mwili wa marehemu ushavunjika vunjika kwajili ya hizi sifa.
Utasikia kisingizio ni jeuri ya pesa lakini ukifatilia unakuta pesa zenyewe ni mshahara wa kuajiriwa, hapo inabidi ushangae tu maana kuna makabila yana wafanyabiashara wakubwa ambao wanaingiza faida maradufu ya huo mshahara kila siku lakini kwenye misiba huwezi kuta hivi vitu.
Msiba ni maomboleza, huzuni, inafaa ichukuliwe hivyo na zaidi ni kuwafariji wahusika wa moja kwa moja, kuleta hizi mbwembwe na kusababisha taharuki kama hii ya kuanguka kwa jeneza ni kuzidi kuleta simanzi kwa wafiwa, kumkosea heshima marehemu, kuongeza gharama za msiba na hata kusababisha vifo vya ziada.