Hata kama mtu humpendi, hii hapana. Kutokukubali lockdown ni kuharibu mahusiano ya EAC?

Hata kama mtu humpendi, hii hapana. Kutokukubali lockdown ni kuharibu mahusiano ya EAC?

ZALEMDA

JF-Expert Member
Joined
Aug 15, 2017
Posts
1,956
Reaction score
2,225


Nilichojifunza hapo ni kwamba Mh Tundu Lissu au chadema mna ungomvi binafsi na Mh JPM.

Hivi kukataa lockdown na huku nchi jirani zikiendeleza lockdown ni kaharibu mahusiano? Come ooon! Eti rafiki yake ni Burundi tu kwa sababu nchi ya Burundi huko nako walikataa lockdown!

Labda sijakuelewa mimi. Kama sijakuelewa ebu tutajie ni mahusiano gani kati ya Rwanda, Kenya, na Uganda Mh rais JPM ameharibu na kwa namna gani?

Mwanzoni ulisema eti Marafiki wa JPM ni kagame, Museveni na Hayati Nkurunziza leo umesema amaharibu mahusiano kati ya Kagame na Museveni.

Umesema eti JPM wakati wa Corona alienda kujificha chato. Chato siyo Tanzania? Au ni eneo la Burundi au Rwanda?

Kwani unajuaje Aliji-iisolate? Maana alituambia Mtoto wake aliugua Corona akajifukiza akapona? Kwani Corona inaogopa kumwambukiza mtu wa Chato?

Umesema eti amejenga uwanja wa Ndege wa chato. Kwani chato siyo Tanzania? Eti wanatumia Yeye na familia yake .hahahaaaaa.kweli usiyempenda utamnenea mabaya.Kwamba siku akifa atazikwa na uwanja huo wa chato na ndege pia, kwamba watoto wake siku moja watakuwa kuwa marais au matajiri na kununua ndege ambazo zitatumia uwanja huu tu.

Kipindi chote cha awamu ya tano,wapinzani hasa chadema na Tundu Lissu ugomvi wao ni Magufuli. Unaposema eti watanzania wameumizwa na utawala wa Magufuli siyo sawa hata kidogo.Ungesema badhi ya watanzania wameumizwa. Kama kweli wapo waliyoumizwa.

Watanzania wenye akili tungepafanya research kujua kwa undani kwanini Tundu Lissu na Chadema wana ugomvi binafsi maana siyo kwa Mtindo huu.
 
Piga spana tu Lissu. Huyu Mzeehatoi ajira eti kwa sababu hakuchaguliwa na wanafunzi wa vyuo.
 
Huyu jamaa anadharau sana eti rafiki yetu ni burundi ya yule aliyekuwa mlinzi wa nkurunzinza... Anamdharau afisa wa cheo cha juu cha jeshi.... Ambae ni raisi wa nchi huru inamaana akiingia hatashirikiana naye sababu alikuwa rafki wa magufuli... Huyu jamaa chenga sana upandw wake wa pili unazid kudhihirika


Nilichojifunza hapo ni kwamba Mh Tundu Lissu au chadema mna ungomvi binafsi na Mh JPM.

Hivi kukataa lockdown na huku nchi jirani zikiendeleza lockdown ni kaharibu mahusiano? Come ooon! Eti rafiki yake ni Burundi tu kwa sababu nchi ya Burundi huko nako walikataa lockdown!

Labda sijakuelewa mimi. Kama sijakuelewa ebu tutajie ni mahusiano gani kati ya Rwanda, Kenya, na Uganda Mh rais JPM ameharibu na kwa namna gani?

Mwanzoni ulisema eti Marafiki wa JPM ni kagame, Museveni na Hayati Nkurunziza leo umesema amaharibu mahusiano kati ya Kagame na Museveni.

Umesema eti JPM wakati wa Corona alienda kujificha chato. Chato siyo Tanzania? Au ni eneo la Burundi au Rwanda?

Kwani unajuaje Aliji-iisolate? Maana alituambia Mtoto wake aliugua Corona akajifukiza akapona? Kwani Corona inaogopa kumwambukiza mtu wa Chato?

Umesema eti amejenga uwanja wa Ndege wa chato. Kwani chato siyo Tanzania? Eti wanatumia Yeye na familia yake .hahahaaaaa.kweli usiyempenda utamnenea mabaya.Kwamba siku akifa atazikwa na uwanja huo wa chato na ndege pia, kwamba watoto wake siku moja watakuwa kuwa marais au matajiri na kununua ndege ambazo zitatumia uwanja huu tu.

Kipindi chote cha awamu ya tano,wapinzani hasa chadema na Tundu Lissu ugomvi wao ni Magufuli. Unaposema eti watanzania wameumizwa na utawala wa Magufuli siyo sawa hata kidogo.Ungesema badhi ya watanzania wameumizwa. Kama kweli wapo waliyoumizwa.

Watanzania wenye akili tungepafanya research kujua kwa undani kwanini Tundu Lissu na Chadema wana ugomvi binafsi maana siyo kwa Mtindo huu.
 
Kumbe ccm imeruhusu ushoga kimya kimya?
2538293_BARUA.jpg
 


Nilichojifunza hapo ni kwamba Mh Tundu Lissu au chadema mna ungomvi binafsi na Mh JPM.

Hivi kukataa lockdown na huku nchi jirani zikiendeleza lockdown ni kaharibu mahusiano? Come ooon! Eti rafiki yake ni Burundi tu kwa sababu nchi ya Burundi huko nako walikataa lockdown!

Labda sijakuelewa mimi. Kama sijakuelewa ebu tutajie ni mahusiano gani kati ya Rwanda, Kenya, na Uganda Mh rais JPM ameharibu na kwa namna gani?

Mwanzoni ulisema eti Marafiki wa JPM ni kagame, Museveni na Hayati Nkurunziza leo umesema amaharibu mahusiano kati ya Kagame na Museveni.

Umesema eti JPM wakati wa Corona alienda kujificha chato. Chato siyo Tanzania? Au ni eneo la Burundi au Rwanda?

Kwani unajuaje Aliji-iisolate? Maana alituambia Mtoto wake aliugua Corona akajifukiza akapona? Kwani Corona inaogopa kumwambukiza mtu wa Chato?

Umesema eti amejenga uwanja wa Ndege wa chato. Kwani chato siyo Tanzania? Eti wanatumia Yeye na familia yake .hahahaaaaa.kweli usiyempenda utamnenea mabaya.Kwamba siku akifa atazikwa na uwanja huo wa chato na ndege pia, kwamba watoto wake siku moja watakuwa kuwa marais au matajiri na kununua ndege ambazo zitatumia uwanja huu tu.

Kipindi chote cha awamu ya tano,wapinzani hasa chadema na Tundu Lissu ugomvi wao ni Magufuli. Unaposema eti watanzania wameumizwa na utawala wa Magufuli siyo sawa hata kidogo.Ungesema badhi ya watanzania wameumizwa. Kama kweli wapo waliyoumizwa.

Watanzania wenye akili tungepafanya research kujua kwa undani kwanini Tundu Lissu na Chadema wana ugomvi binafsi maana siyo kwa Mtindo huu.

Na wewe hoja zako kama mtoto mdogo. Tatizo ni uwanja wa ndege wa kimataifa unajengwa mahali ambapo hakuna shughuli zozote za kimataifa. Hivi unajua kuwa Dodoma ambao ni makao makuu ya nchi hakuna kiwanja cha ndege chenye hadhi ya kimataifa? Sasa kwanini mtu akajenge kijijini kwake kiwanja cha kimataifa? Huoni huu ni ufisadi mkubwa na ujinga pia?
 
Hivi mleta mada umesoma mpaka darasa la ngapi? Make naona uwezo wako ni mdogo sana wa fikira
 
Hivi nyie mnamuona Lisu zinamtosha?

Yeye anachojua ni kwamba eti ana damu nyingi sana za wakenya,,!

Akilini mwake anahisi bila mzungu hawezi kuishi.
 
Back
Top Bottom