hata kama mvumilivu hula mbivu sio kwa staili hii,,!

hata kama mvumilivu hula mbivu sio kwa staili hii,,!

Carla

JF-Expert Member
Joined
Aug 4, 2012
Posts
398
Reaction score
331
wana jf hivi mnalichukuliaje hili kwa upande wangu mi nakwazika sana,hivi hawa utumishi wanaona sisi hatuna mambo mengine ya kufanya zaidi ya kuwasubiri wao watuite kazini,kuna watu wamejisacrifice hawajaenda chuo kuendeleza elimu zao wakisubiri kuitwa kazin,hebu tujuzane wanachofanya ni nini? na je wote waliofanya usaili wataitwa kazini?mana sio watu wanakua na full hope afu hawaitwi kazini,wenzangu mnaona imekaaje hii?
 
We mtu mwenyewe ukifanya usaili unapata 48, 35, 65 unategemea uitwe kazini.
 
We mtu mwenyewe ukifanya usaili unapata 48, 35, 65 unategemea uitwe kazini.

unapenda ligi eeh mi sio wa stail hiyo "leyla anakwambia sina mda huo" hujiskii kuchangia wewe acha wapo watu wenye busara zao watachangia tu vitu vya maana, acha hizo bhana,!
 
c utulie,ikiwa interview ulifanya mapepe ya nn.kuna wenzio hata mchujo hawajaonja.
 
wana jf hivi mnalichukuliaje hili kwa upande wangu mi nakwazika sana,hivi hawa utumishi wanaona sisi hatuna mambo mengine ya kufanya zaidi ya kuwasubiri wao watuite kazini,kuna watu wamejisacrifice hawajaenda chuo kuendeleza elimu zao wakisubiri kuitwa kazin,hebu tujuzane wanachofanya ni nini? na je wote waliofanya usaili wataitwa kazini?mana sio watu wanakua na full hope afu hawaitwi kazini,wenzangu mnaona imekaaje hii?

Carla,unaongelea kuitwa kazini kwenye nafasi zipi na usaili wa tarehe ngapi?
Funguka zaidi mdau,,,,
 
hawa jamaa n kelo kwel wanachelewesha sana watu tnasubr had tna zeeka usail tu bado hata hawaja ita . hii system wabadrshe wanatuumiza sana.
 
wana jf hivi mnalichukuliaje hili kwa upande wangu mi nakwazika sana,hivi hawa utumishi wanaona sisi hatuna mambo mengine ya kufanya zaidi ya kuwasubiri wao watuite kazini,kuna watu wamejisacrifice hawajaenda chuo kuendeleza elimu zao wakisubiri kuitwa kazin,hebu tujuzane wanachofanya ni nini? na je wote waliofanya usaili wataitwa kazini?mana sio watu wanakua na full hope afu hawaitwi kazini,wenzangu mnaona imekaaje hii?
mkuu ! nakushauri ukiwa unaendelea kusubiri endeleza mambo yako mengine ya msingi kama kusoma nk
ukiwasubiri hawa jamaa ndo kama tumaini lako utaumia
 
dah mkuu ndo bongo hii hakuna haraka kwenye mambo yetu..huwa najiuliza ila huwa sipati majibu kama watu washafanya interview kuna ugumu kuwaharakishia kuwapeleka kwenye nafasi zao...hapo ndo uchakachuzi unatokea mkuu
cha kufanya endelea na mambo mengine
 
mkuu ! nakushauri ukiwa unaendelea kusubiri endeleza mambo yako mengine ya msingi kama kusoma nk
ukiwasubiri hawa jamaa ndo kama tumaini lako utaumia

Obama amekujibu sawia. Usiweke mayai yako ktk kikapu kimoja. Jaribisha kila namna ya kujipatia kipato kwa njia halali. Hata kama ni kidogo hapo mwanzoni usikate katamaa.
 
tangazo lilitoka may deadline ikawa tar8june wakatuweka weeh tar 29sep had tar 5oct wakaita baadhi ya watu kwenye usaili, tar 4 nov wakaita baadhi ya kada kazini lakin watendaji wa kata wala vijiji hawakuitwa xaxa tatizo langu kinachowafanya wazidi kuchelewa ni nini? na hao ambao hata kwenye usail hawakuitwa cjui inakuaje,mwaka ndo unaishia hivyo
 
Kujiajiri hamuwezi,mnaomba nafasi za kazi, alafu bado mnamshinikiza muajiri awaajiri haraka,kazi za kuajiriwa zinahitaji nidhamu kubwa na uvumilivu wa hali ya juu,kwani changamoto zake ni nyingi, from recruitment to either retrenchment,termination or retirement processes.kazi kwenu
 
Mkuu kua mstaarabu, kucheleweshewa haki ni sawa na kunjimwa haki, we unaropoka nini kama imekugusa na ugusike hatutaki unafiki, huko ofisini mnafanya nini ambacho hatukioni, au mnasoma barua za maombi ya kazi na kuzipost huku jf, kama mnanafasi ya kujadili kingereza cha wanaoomba kazi na kukitupia huku jf inakuaje mnakosa muda wa kuwapangia waliofaulu vituo vyao vya kazi? tufungukeni Watanzani.
 
Msigombane ndugu zangu, serikali inaungaunga hela za kuajiri watumishi wapya hakuna. Hata hao sekretariet ya ajira hawawezi kuwaita kwenye interview kama idara husika haina hela ya kuwalipa mishahara waajiriwa wapya. Cha msingi POLE sana ila endeleeni kumuomba MUNGU atawasaidia.
 
Mkuu kua mstaarabu, kucheleweshewa haki ni sawa na kunjimwa haki, we unaropoka nini kama imekugusa na ugusike hatutaki unafiki, huko ofisini mnafanya nini ambacho hatukioni, au mnasoma barua za maombi ya kazi na kuzipost huku jf, kama mnanafasi ya kujadili kingereza cha wanaoomba kazi na kukitupia huku jf inakuaje mnakosa muda wa kuwapangia waliofaulu vituo vyao vya kazi? tufungukeni Watanzani.

Kama kupata kazi ni haki yako,kwanini katika barua ya maombi unaandika unaomba kazi? Je haki inaombwa? Kama unaona sekretarieti ni wababaishaji,kwanini usiunde sekretarieti yako ya ujasiliamali kwa kuanza na mtajji mdogo.Mnaojiita wasomi mkiendelea kwa mtindo huo mtazidi kuwa watumwa kwa wanasiasa na wafanyabiashara,
 
Jamani lakini kama secretarieti au serikari inajua aina ela kwanini ina tangaza nafasi za kazi? tena nyingi tena kwa bwebwe kubwa kwa kila chombo cha abali, aioni iyo ni kuwaumiza watu kwani watu wana aply wakisubili kuitwa alafu wanasema serikali aina ela mi naona aina maana kufanya ivyo ule wakati wakudanganyana ume isha saizi, serikari kama imeona aina ele basi wasubili na sio kuwaumiza watu mioyo elim yenyewe ai muandaai mtu kujiajili mwenyewe,IS NOT FAIR.
 
Jamani lakini kama secretarieti au serikari inajua aina ela kwanini ina tangaza nafasi za kazi? tena nyingi tena kwa bwebwe kubwa kwa kila chombo cha abali, aioni iyo ni kuwaumiza watu kwani watu wana aply wakisubili kuitwa alafu wanasema serikali aina ela mi naona aina maana kufanya ivyo ule wakati wakudanganyana ume isha saizi, serikari kama imeona aina ele basi wasubili na sio kuwaumiza watu mioyo elim yenyewe ai muandaai mtu kujiajili mwenyewe,IS NOT FAIR.

wewe si unaona lowasa alikuwa kawajia juu, so ilikuwa ni kujaribu kutuliza bomu kwani kidogo lilipuke,,,,siasa ndugu yangu tena walitangaza mpaka TBC1, hawana maana kabisa, kuwa mvumilivu
 
Sikiliza kijana, wametoa tangazo tukatuma maombi, tumeitwa kwa interview tumefanya, kwanini wasitupe matokeo ya interview wakati wametuchuja tukabakia wachache? labda nikupe hili kufanya kazi ni swala la kikatiba kwa tanzania yetu, ni haki, serikali inajukumu la kuwapa na kutafuta ajira kwa wananchi wake kuongeza DGP,
 
Back
Top Bottom