LGE2024 Hata kama ni kutetewa vyama vyote ni muhimu kuzingatia taratibu za uchaguzi

LGE2024 Hata kama ni kutetewa vyama vyote ni muhimu kuzingatia taratibu za uchaguzi

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

jingalao

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
36,197
Reaction score
29,717
Inawezekana kabisa nia ya 4RS ipo dhahiri kupitia CCM Lakini ni vyema vyama vyote kuzingatia taratibu tulizojiwekea katika uchaguzi.

Inashangaza mgombea umeelezwa wazi kuwa iwapo hujatendewa haki kata rufaa

Nenda kwenye mamlaka ya kiuchaguzi pigania haki yako halafu badala ya kufanya hivyo unaandaa post ya Tweeter a.k.a X kulaumu.

Hivi mwenyekiti wa kijiji usiye na uwezo wa kupambana kikanuni utaweza kuwaongoza mabush lawyers waliopo vijijini?

Tunatambua wengi wa wanakijiji watata huwa wana tabia ya kuhoji makosa madogo madogo tu ili akuaibishe au kuzua mgogoro katika mkutano.

Sasa tukiwa na Mwenyekiti aliyekosea jina au umri au tarehe ya kuzaliwa je ataweza kupambana na wananzengo?

Hebu mlioenguliwa onesheni weledi wa kupambana la sivyo mtaonekana ni weak na kamwe hamtakuwa na uwezo wa kupambana na vurugu za kijijini.

CIAO!!
 
..tatizo tangu nchi yetu ipate uhuru hakuna mwanachama wa Tanu, wala Ccm, aliyewahi kuenguliwa asigombee ktk uchaguzi.
 
We jamaa tafadhali funga mdomo. Wako wenye nia ovu kwa nchi yetu..

Hivyo vipesa uchwara mnavyopata havina thamani ya amani na uhuru wetu..

Hakuna anaekubali kwamba wenye shida ni wa vyama vingine pekee sio CCM.

Wengine Tanzania ndio nyumbani na hatuna pa kwenda..., kwahiyo amani yetu na umoja wetu ni muhim kuliko hizo bla bla zenu za chaguzi za abracadabra..

Soma vizur katiba kuhusu sifa za mgombea kwenye ngazi husika alafu urudi tena hapa...

Sheria ya kuachia mamlaka ya usimamizi wa masuala haya ilitunges na ikapewa INEC, sasa wizara imekuwaje mpaka leo inangangania lawama?

Hofu ipo wap?

Uenyekiti sijui wa blabla mtaa na kijiji sijui kitongoji ni vya kutuvurugia nchi kwel?

Nchimbi amejitaidi kuongea kwa maturity sana....
 
Miaka ya nyuma nilikua kiongoizi wa cuf kwenye uchaguzi ccm waliweka pingamizi wagombea wetu wote na Mimi nikaweka pingamizi kwa wagombea wao basi ngoma ikaisha drow!
 
CCM mna tabu sana, tunao wanaopita bila kupingwa ukienda akuandikie barua , anakwambia iandike unavyotaka nitakugongea muhuri. Hao ni wengi mtaani kwetu yupo na huu ni muhula wake wa pili, na nahisi atakuwa kagombea tena.

Sasa tufanyeje na nchi ni ya ki CCM CCM.

Yani Nilijiuliza iweje DR.Nchimbi katibu mkuu wa CCM aiambie TAMISEMI eti waliofanya makosa madogo madogo waachwe wagombee?

Yani yeye ni nani ikiwa TAMISEMI wanadai hawatekelezi maagizo ya vyama. Mbona kama wanatekeleza Maagizo ya Nchimbi kusikiliza na kuwarudisha wagombea, awali walidai malalamiko ya vyama ni upotoshaji, au kwa kuwa wagombea wa CCM nao waliwekewa mapingamizi?
 
We jamaa tafadhali funga mdomo. Wako wenye nia ovu kwa nchi yetu..

Hivyo vipesa uchwara mnavyopata havina thamani ya amani na uhuru wetu..

Hakuna anaekubali kwamba wenye shida ni wa vyama vingine pekee sio CCM.

Wengine Tanzania ndio nyumbani na hatuna pa kwenda..., kwahiyo amani yetu na umoja wetu ni muhim kuliko hizo bla bla zenu za chaguzi za abracadabra..

Soma vizur katiba kuhusu sifa za mgombea kwenye ngazi husika alafu urudi tena hapa...

Sheria ya kuachia mamlaka ya usimamizi wa masuala haya ilitunges na ikapewa INEC, sasa wizara imekuwaje mpaka leo inangangania lawama?

Hofu ipo wap?

Uenyekiti sijui wa blabla mtaa na kijiji sijui kitongoji ni vya kutuvurugia nchi kwel?

Nchimbi amejitaidi kuongea kwa maturity sana....
Alicho kisema ni sahihi, kwa sababu kama sheria zipo ni zanini kama hatuzifuati? Na kama tunahitaji marekebisho zirekebishwe, lakini isiwe wanapindisha sheria kiholela holela.

Kilichonisikitisha mimi ni baada ya Dr.Nchimbi kuzungumza na vyombo vya habari Tamisemi wakaonekana kulegeza, ili hali mwanzo walikaza sana kwa vyama vya upinzani wakidai ni wapotoshaji, na kwamba madai yao haya kuwa na ukweli wowote.
 
Nchi hi ili iendelee ni lazima kizazi cha watu wajinga na wanaodhani maendeleo hayatapatikana bila CCM wafe wote.Mawazo hayo ya kipumbavu yalikuwepo hata katika kanisa la zamani la Romani Katoliki lakini kanisa lilibadili msimamo huo.Kuna wajinga waliamini kuwa nje ya kanisa(RC)hakuna wokovu/jema lolote wakati si kweli.
 
Inawezekana kabisa nia ya 4RS ipo dhahiri kupitia CCM Lakini ni vyema vyama vyote kuzingatia taratibu tulizojiwekea katika uchaguzi.

Inashangaza mgombea umeelezwa wazi kuwa iwapo hujatendewa haki kata rufaa

Nenda kwenye mamlaka ya kiuchaguzi pigania haki yako halafu badala ya kufanya hivyo unaandaa post ya Tweeter a.k.a X kulaumu.

Hivi mwenyekiti wa kijiji usiye na uwezo wa kupambana kikanuni utaweza kuwaongoza mabush lawyers waliopo vijijini?

Tunatambua wengi wa wanakijiji watata huwa wana tabia ya kuhoji makosa madogo madogo tu ili akuaibishe au kuzua mgogoro katika mkutano.

Sasa tukiwa na Mwenyekiti aliyekosea jina au umri au tarehe ya kuzaliwa je ataweza kupambana na wananzengo?

Hebu mlioenguliwa onesheni weledi wa kupambana la sivyo mtaonekana ni weak na kamwe hamtakuwa na uwezo wa kupambana na vurugu za kijijini.

CIAO!!
Ila wa CCM akiandika amezaliwa tarehe 24/11/2024 na hatujafika hiyo tarehe anapita ila wa upinzani ndio tatizo!?? Ficha ujinga wako basi mara moja moja....
 
Ukiwa Na Mambo ya hovyo Hakuna namna utaongea kauli ya taratibu eti zifatwe, taratibu zipi Za hovyo unataka zifatwe?
 
Inawezekana kabisa nia ya 4RS ipo dhahiri kupitia CCM Lakini ni vyema vyama vyote kuzingatia taratibu tulizojiwekea katika uchaguzi.

Inashangaza mgombea umeelezwa wazi kuwa iwapo hujatendewa haki kata rufaa

Nenda kwenye mamlaka ya kiuchaguzi pigania haki yako halafu badala ya kufanya hivyo unaandaa post ya Tweeter a.k.a X kulaumu.

Hivi mwenyekiti wa kijiji usiye na uwezo wa kupambana kikanuni utaweza kuwaongoza mabush lawyers waliopo vijijini?

Tunatambua wengi wa wanakijiji watata huwa wana tabia ya kuhoji makosa madogo madogo tu ili akuaibishe au kuzua mgogoro katika mkutano.

Sasa tukiwa na Mwenyekiti aliyekosea jina au umri au tarehe ya kuzaliwa je ataweza kupambana na wananzengo?

Hebu mlioenguliwa onesheni weledi wa kupambana la sivyo mtaonekana ni weak na kamwe hamtakuwa na uwezo wa kupambana na vurugu za kijijini.

CIAO!!
Shida yetu watanzania tunajihujumu wenyewe,wote mlioshsbikia na mnaoendlea kushabikia uhatibufu unaofanywa kwenye chaguzi halafu mnaona ni ushujaa huo ni ujinga wa kiwango cha lami.Hakuna kisingizio chochote cha kuhalalisha uhalifu huu.Na bahati mbaya na vyombo vyote vyenye mamlaka ya kusimamia sheria zetu ama zile za kuzuia,ama mamlaka za kiuchunguzi wote wanakuwa,vipofu,bubu katika yote haya .Jaribuni kukumbuka kuwa watanzania sii wajinga na kuwa wanaotenda haya nio waerevu sana.
 
Back
Top Bottom